Miezi 13, makocha 3 Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL,
DAR ES SALAAM
INASHANGAZA! Hiyo ndio hali halisi kwa timu ya Simba baada ya kunolewa na makocha watatu tofauti ndani ya miezi 13 iliyopita hadi sasa. Simba tayari imemfuta kazi kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, aliyeanza kuinoa timu hiyo Agosti mwaka jana na nafasi yake imechukuliwa na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyetarajia kusaini mkataba wa mwaka mmoja jana.
Goran anakuwa kocha wa tatu kuinoa Simba ndani ya miezi 13 iliyopita kwani kabla ya Phiri kurejea, kibarua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Makocha waigomea Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cXBH7X7ikKnKeHkT4p5FCzQBkKIjdVZiwx1iPCp2BPbeQ-O3zHr7YwbZ*1sdUko*gXZTWFG0rYUy6XFUaeYlA**jiV-m2kyV/BREAKINGNEWS.gif)
SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
9 years ago
Habarileo24 Sep
Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga
ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Makocha 10 wametimuliwa, Simba, Ashanti zatia fola
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu
10 years ago
Vijimambo10 Jul
MAKOCHA WA ZUNGU WA SIMBA NI WATALII WA SUMMER CAMP HAPA NI NDANI YA MILIMA YA LUSHOTO
![](http://api.ning.com/files/2Za8s5sYvAIfDRLtDyQQsj6oRCR70d-ZM2O3pN2OQrWaWuEUv5waD3dzAiJIj7K98I-NYKVV1jewh6m28OaQY*zEG6jp8MbL/IMG20150707WA0150.jpg?width=650)
Wilbert Molandi na Sweetbert LukongeSIKU chache tangu Simba ilipotua Tanga kujiandaa na msimu mpya, wachezaji wa timu hiyo wamekiri kuwa mazoezi ya kocha wao mkuu, Dylan Kerr ni balaa kwa kuwa ni ya kiwango cha juu.
Simba ipo chini ya Kerr na msaidizi wake, Selemani Matola pamoja na kocha wa viungo, Mserbia, Dusan Momcilovic na kocha wa makipa, Mkenya, Abdul Idd Salim.Wakizungumza na Championi Ijumaa kwa nyakati tofauti, wachezaji wa timu hiyo walisema...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s72-c/unnamed+(24).jpg)
makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Makocha waiponda Yanga