Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga
ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cXBH7X7ikKnKeHkT4p5FCzQBkKIjdVZiwx1iPCp2BPbeQ-O3zHr7YwbZ*1sdUko*gXZTWFG0rYUy6XFUaeYlA**jiV-m2kyV/BREAKINGNEWS.gif)
SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Makocha waigomea Simba
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Miezi 13, makocha 3 Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL,
DAR ES SALAAM
INASHANGAZA! Hiyo ndio hali halisi kwa timu ya Simba baada ya kunolewa na makocha watatu tofauti ndani ya miezi 13 iliyopita hadi sasa. Simba tayari imemfuta kazi kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, aliyeanza kuinoa timu hiyo Agosti mwaka jana na nafasi yake imechukuliwa na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyetarajia kusaini mkataba wa mwaka mmoja jana.
Goran anakuwa kocha wa tatu kuinoa Simba ndani ya miezi 13 iliyopita kwani kabla ya Phiri kurejea, kibarua...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Makocha waiponda Yanga
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Makocha Azam, Yanga watambiana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KfziR4zNADXEGPZ*bozRWowORqB1CEEGrx*pfzWuvvqSDZmicIZc9IyM01nn5zjGbddbYV9R*HVV7V*b6DyJotu/makocha.jpg?width=650)
Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...