Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha Azam, Yanga watambiana

Wakati kocha wa Azam, Stewart Hall akisema mifumo anayotumia na uimara wa kiuchezaji wa wachezaji wake ndiyo siri ya mafanikio yake, mwenzake wa Yanga, Hans Pluijm ametamba kuwa timu yake ina kikosi imara zaidi pengine kushinda timu yoyote nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MALENGO AFRIKA: Makocha Yanga, Azam wajipa matumaini

>Makocha wa Yanga na Azam wamebeba matumaini makubwa kuelekea mechi zao za kimataifa mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Ruvu Shooting watambiana

>Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema msaidizi wake Charles Mkwasa amemkabidhi  taarifa zote muhimu zinazohusu uimara na udhaifu wa Ruvu Shooting na kudai kuwa atazitumia kuvuna ushindi katika pambano baina yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha waiponda Yanga

Makocha wanaofundisha katika klabu za Ligi Kuu wameukosoa uongozi wa Yanga kwa kumtimua kocha, Marcio Maximo kwa kutumia kisingio za mechi ya Mtani Jembe.

 

11 years ago

GPL

Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga


Na Khadija Mngwai
KUFUATIA kuondoka kwa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluijm, kumekuwa na mgongano wa hali ya juu baada ya zaidi ya makocha 35 kutuma maombi ya kutaka kuifundisha timu hiyo msimu ujao. Hivi karibuni Pluijm aliamua kuondoka klabuni hapo na kutimkia Uarabuni kwenda kufundisha soka baada ya kupata ofa kubwa. Akizungumza na Championi Jumamosi, Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto, alisema...

 

9 years ago

Habarileo

Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga

ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga

Makocha wa klabu mbalimbali za Ligi Kuu nchini wameichambua mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kesho na kueleza kuwa Yanga ‘itabebwa’ na uzoefu huku Simba ikitakiwa kucheza kitimu zaidi ili ishinde mchezo huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makocha wapya Yanga waanza kwa mkwara

MAKOCHA wapya wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali ‘Mensah’ wameanza kukinoa kikosi cha klabu hiyo huku wakiwaonya wachezaji hasa watovu wa nidhamu. Pondamali na Mkwasa wameanza kuinoa timu...

 

11 years ago

GPL

Makocha watano wagombea kumrithi Pluijm Yanga

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Wilbert Molandi na Hans Mloli
JUMLA ya makocha watano wa kimataifa wamejitokeza kurithi kibarua cha aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Hilo limetokea siku chache tangu kocha huyo kutangaza kuondoka Yanga baada ya kupata ofa ya kwenda kuifundisha Klabu ya Al Soala inayoshiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia. Akizungumza na Championi Jumatano, Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu

Wakati Yanga imesitisha mkataba wa kazi wa kocha wake, Ernest Brandts imebainika kuwa Yanga na Simba zimefukuza makocha tisa kwa kipindi cha miaka mitatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani