Makocha watano wagombea kumrithi Pluijm Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfia*Wicw2TTN8m7sXleUaHIxhopCMaANEwoVZMRH4qtb4y04mqUcwvQ0HkB2xFFVUt6ahzGdkY*ITAtQbCuKt71/makocha.gif?width=650)
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Wilbert Molandi na Hans Mloli JUMLA ya makocha watano wa kimataifa wamejitokeza kurithi kibarua cha aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Hilo limetokea siku chache tangu kocha huyo kutangaza kuondoka Yanga baada ya kupata ofa ya kwenda kuifundisha Klabu ya Al Soala inayoshiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia. Akizungumza na Championi Jumatano, Katibu Mkuu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9_IexohF1Q/VJRNIfTTmXI/AAAAAAAG4eE/tZWaCa1dp3c/s72-c/pluijm.jpg)
Hans van Der Pluijm na Charles Mkwassa watajwa kuwa makocha wapya wa Yanga
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9_IexohF1Q/VJRNIfTTmXI/AAAAAAAG4eE/tZWaCa1dp3c/s1600/pluijm.jpg)
Pluijm na Mkwassa wanachukua nafasi ya makocha wa Yanga, Marcio Maximo na Leonardo Neiva waliotupiwa virago huku Tiboraha akichukua mikoba ya Beno Njovu aliyemaliza muda wake.
Awali mkufunzi wa Fifa, Henry Tandau alipigiwa chapuo kuchukua cheo cha Ukatibu baada...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Makocha Pluijm, Phiri wajigamba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKesKc39udFpqb1CBy9T6saaCPfMFHrBPo0UotwxTB0jGL724Aqg1FyADtIhlaUlEgAPhcxkfThqq*-GOxJXbrQ/BREAKING.gif)
BREAKING NEWS: CCM YATANGAZA WAGOMBEA WATANO WA URAIS
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-z4hYp0tXVoM/VaEklZhyurI/AAAAAAABRhY/-VS1C6rysbQ/s72-c/CJljHQhWIAA3xsD.png)
WAJUE KWA UNDANI WAGOMBEA WATANO WALIOPITISHWA NA KAMATI KUU (CC)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z4hYp0tXVoM/VaEklZhyurI/AAAAAAABRhY/-VS1C6rysbQ/s640/CJljHQhWIAA3xsD.png)
1: BENARD MEMBE
Benard Kamillius Membe ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alizaliwa tarehe 09 Novemba 1953, katika Kijiji cha Rondo-Chiponda, Wilaya ya Lindi Vijijini.
Membe ana shahada ya kwanza ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma na ana shahada ya umahiri ya Uhusiano wa Kimataifa.
Membe aliajiriwa kwenye Ofisi ya Rais na kufanya kazi kwa miaka 6 kabla hajaanza shahada ya kwanza na baadaye alirudi vyuoni kusoma na kuhitimu...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Makocha waiponda Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KfziR4zNADXEGPZ*bozRWowORqB1CEEGrx*pfzWuvvqSDZmicIZc9IyM01nn5zjGbddbYV9R*HVV7V*b6DyJotu/makocha.jpg?width=650)
Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Makocha Azam, Yanga watambiana
9 years ago
Habarileo24 Sep
Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga
ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.