Makocha Pluijm, Phiri wajigamba
Kocha wa Yanga, Hans van Pluijm na mwenzake Patrick Phiri wa Simba wametamba kuibuka na ushindi dhidi ya Azam na Kagera Sugar wakati mechi za Ligi Kuu ya Vodacom zitakapoingia raundi ya nane kuanzia kesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfia*Wicw2TTN8m7sXleUaHIxhopCMaANEwoVZMRH4qtb4y04mqUcwvQ0HkB2xFFVUt6ahzGdkY*ITAtQbCuKt71/makocha.gif?width=650)
Makocha watano wagombea kumrithi Pluijm Yanga
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Wilbert Molandi na Hans Mloli
JUMLA ya makocha watano wa kimataifa wamejitokeza kurithi kibarua cha aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Hilo limetokea siku chache tangu kocha huyo kutangaza kuondoka Yanga baada ya kupata ofa ya kwenda kuifundisha Klabu ya Al Soala inayoshiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia. Akizungumza na Championi Jumatano, Katibu Mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9_IexohF1Q/VJRNIfTTmXI/AAAAAAAG4eE/tZWaCa1dp3c/s72-c/pluijm.jpg)
Hans van Der Pluijm na Charles Mkwassa watajwa kuwa makocha wapya wa Yanga
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9_IexohF1Q/VJRNIfTTmXI/AAAAAAAG4eE/tZWaCa1dp3c/s1600/pluijm.jpg)
Pluijm na Mkwassa wanachukua nafasi ya makocha wa Yanga, Marcio Maximo na Leonardo Neiva waliotupiwa virago huku Tiboraha akichukua mikoba ya Beno Njovu aliyemaliza muda wake.
Awali mkufunzi wa Fifa, Henry Tandau alipigiwa chapuo kuchukua cheo cha Ukatibu baada...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s72-c/unnamed+(24).jpg)
makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani
Kiongozi wa Taliban, Afghanistan,ameonekana akiwa na Mbwa wa jeshi la Marekani waliomkamata mwezi Disemba na kumuweka kama mfungwa wa kivita
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Wajigamba kuvuka lengo darasa la saba
Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Mkoa wa Mwanza imeweka mipango kabambe kuwezesha wanafunzi wa darasa la saba watakaohitimu mwaka huu kufanya vizuri zaidi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9cQ9i*zqPfU7532OjzhsOWNQooz-jcMLQJkUGXPoB2yutP8iyz*mHn32mapKfeVpe0-Sf4xtEHX0IgK-EHur8xu/simba.jpg?width=650)
Simba SC wajigamba kuendeleza vipigo Ligi Kuu Bara
Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Simba, Haji Manara. Na Said Ally Dar es Salaam
KIKOSI cha Simba baada ya juzi Jumatatu kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Kagera Sugar, kimejigamba kuwa kitaendeleza ubabe wake kwenye ligi hiyo hadi mwisho. Simba ambayo kwa sasa inashika nafasi ya tatu kwa kuwa na pointi 35, wikiendi hii inatarajiwa kupambana na Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Taifa, Dar huku mchezo huo ukitarajiwa kuwa ni wa kisasi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJNOHnEFedmYb*i-NgiihTt1*X9s-EWat-r9f5PNDaYuVahjq6KnGf4rqoGuMfhzYuPzFiBNVwberYy1Y8aO9cuR/phili.jpg)
Kwaheri phiri
Kocha Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri, jana alioondoka nchini kuelekea Zambia kwa mapumziko ya wiki moja, baada ya Ligi Kuu Bara kusimama kupisha michuano ya Cecafa iliyopangwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Mzambia huyo, anarejea kwao baada ya kukabidhi ripoti ya raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara kwa Kamati ya Utendaji ya Simba, iliyokutana hivi karibuni na...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Phiri: Nikirudi nitawavuruga
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri ameziambia Yanga na Azam zikae mbali kwani moto watakaokuja nao safari hii utakuwa kiboko.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Phiri alia na Waganda
Wakati Simba leo ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Jang’ombe leo, kKkocha Patrick Phiri amesema kuchelewa kwa nyota wake watatu Waganda kuna tibua mipango yake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania