Phiri alia na Waganda
Wakati Simba leo ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Jang’ombe leo, kKkocha Patrick Phiri amesema kuchelewa kwa nyota wake watatu Waganda kuna tibua mipango yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
WAGANDA WAMPONZA PHIRI, GORAN KUTUA LEO!!

Habari za uhakika kutoka Simba zinasema kuwa uongozi wa klabu hiyo chini ya mwenyekiti wake Evans Aveva uliketi juzi usiku majira ya saa mbili na kikao kumalizika saa saba usiku kwa maazimio ya kumfukuza Phiri na jana jioni alikabidhiwa rasmi barua yake ya kuachishwa kazi na nafasi yake...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Waganda wakacha kambi Simba
Simba imeingia kambini Zanzibar jana bila ya nyota wake watatu Simon Sserunkuma, Juku Musheed na Emmanuel Okwi waliotimkia Uganda.
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Waziri:Waganda wanapenda ngono mchana
Matamshi ya waziri wa maadili nchini Uganda kuwa Waganda wengi hujihusisha na vitendo vya kufanya mapenzi hasa wakati wa kipindi cha mlo wa mchana yamezua gumzo katika vyombo vya habari nchini humo na katika mitandao ya kijamii.
11 years ago
Mwananchi13 Sep
Mbeya City sasa kuwavaa Waganda
Timu ya Mbeya City ya jijini hapa leo inatarajia kukipiga na Vipers kutoka Uganda katika mechi ya kirafiki itakayofanyika Uwanja wa Sokoine.
10 years ago
GPLNE-YO AWAAHIDI WAGANDA SHOO YA NGUVU LEO
Mwanamuziki Ne-Yo (katikati) wakati akiongea na wanahabari (hawapo pichani) jijini Kampala leo. STAA wa muziki wa R&B kutoka nchini Marekani, Shaffer Chimere Smith, Ne-Yo amewaahidi wananchi wa Uganda shoo ya nguvu leo usiku. Ne-Yo na timu yake wakiwasili jijini Kampala jana usiku. Ne-Yo aliyetua nchini Uganda jana, anatarajia kufanya shoo ya nguvu leo katika Tamasha la Pop 'N Jam litakalofanyika jijini Kampala. Staa huyo...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Wafanyabiashara wa vitunguu Singida walia na Waganda, Wakenya
Wafanyabiashara wa vitunguu katika Soko la Misuna, Singida wameiomba Serikali kuwasaka na kuwakamata wafanyabiashara kutoka Kenya na Uganda wanaonunua zao hilo moja kwa moja kutoka kwa wakulima kwa madai kuwa wanawanyonya wakulima na kuikosesha halmashauri mapato.
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Waganda wapata vibali vya kazi Saudia
Mazungumzo yaliyofanywa kati ya Uganda na Saud Arabia, yametoa nafasi kwa raia wa Uganda kupata vibali vya kufanya kazi nchini humo.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Simba, Azam kuwavaa Waganda Amaan leo
>Wawakilishi wa Tanzania, Azam na Simba leo watakuwa na kibarua kizito mbele ya timu za Uganda, URAÂ na KCC wakati wa mechi za nusu fainali za Kombe la Mapinduzi zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania