WAGANDA WAMPONZA PHIRI, GORAN KUTUA LEO!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-PVA1p0mIlDE/VKK_GEN3v_I/AAAAAAAG6nE/CzC-8-jfo60/s72-c/PatrickPh1.jpg)
Wachezaji wa Simba raia wa Kiganda ndio wamemponza kocha Mzambia Patrick Phiri kufungashiwa virago ndani ya klabu hiyo ya Msimbazi huku Mserbia Goran Kopunovic akitarajiwa kutua rasmi kesho Jumatano.
Habari za uhakika kutoka Simba zinasema kuwa uongozi wa klabu hiyo chini ya mwenyekiti wake Evans Aveva uliketi juzi usiku majira ya saa mbili na kikao kumalizika saa saba usiku kwa maazimio ya kumfukuza Phiri na jana jioni alikabidhiwa rasmi barua yake ya kuachishwa kazi na nafasi yake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Patrick Phiri kutua leo nchini
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.
Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Phiri alia na Waganda
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Goran kumrithi Phiri Simba
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s72-c/PATRICK+PHIRI.jpg)
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s1600/PATRICK+PHIRI.jpg)
Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
9 years ago
GPLNE-YO AWAAHIDI WAGANDA SHOO YA NGUVU LEO
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Simba, Azam kuwavaa Waganda Amaan leo
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Maximo kutua leo
KOCHA mpya wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, anatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam leo, akiwa na msaidizi wake Leonardo Neiva kwa ajili ya kuanza kibarua katika klabu hiyo. Maximo, kocha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPyeG05rzWh*PutjYN5xXd5iooQJT877elbKYlKr-9nWp75zzguFmWdS*CTI8GHtK0k4CSf3X7kJujxkx0cQn14D/Okwi.jpg?width=650)
OKWI KUTUA LEO SAA 9:30
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Stars kutua Msumbiji leo
MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars unatarajiwa kuondoka leo jioni Afrika Kusini kwenda Msumbiji tayari kwa mechi ya keshokutwa kuwania tiketi ya kuingia kundi F, kupigania nafasi...