Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OKWI KUTUA LEO SAA 9:30

Emmanuel Okwi. Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi anatarajiwa kutua leo mchana majira ya saa 9:30 katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyererer akitokea nchini Uganda kwa shirika la ndege la Rwanda. Hii ni taarifa rasmi kwa wapenzi wa soka, wanacham na mashabiki kuwa rasmi mchezaji huyo atawasili leo na kupokelewa na viongozi wa klabu ya Yanga pamoja na mashabiki na wanachama kwa ujumla. Ujio wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

IDRIS KUTUA LEO SAA 12:30 JIONI

MSHINDI wa zaidi ya milioni 500 za shindano la Big Brother Hotshots, Idris Sultan anatarajia kutua nchini leo saa 12:30 jioni akitokea Afrika Kusini alipokuwa anashiriki shindano hilo lililomalizika Jumapili iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Saa 24 za hatari kwa Okwi, Mosoti

 Saa 24 zimebaki kabla ya mshambuliaji, Emmanuel Okwi wa Yanga na beki Donald Mosoti wa Simba kutangazwa kuwa si wachezaji wa klabu hizo.

 

10 years ago

Michuzi

TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!

UONGOZI WA KAMPUNI YA RELI TANZANIA UNASIKITIKA KUWATAARIFU ABIRIA WA TRENI YA DELUXE YA KWENDA KIGOMA LEO JUMAPILI MEI 31, 2015, KUWA SAFARI HIYO IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU! 
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI  NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo kutua leo

KOCHA mpya wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, anatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam leo, akiwa na msaidizi wake Leonardo Neiva kwa ajili ya kuanza kibarua katika klabu hiyo. Maximo, kocha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars kutua Msumbiji leo

MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars unatarajiwa kuondoka leo jioni Afrika Kusini kwenda Msumbiji tayari kwa mechi ya keshokutwa kuwania tiketi ya kuingia kundi F, kupigania nafasi...

 

11 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu Finland kutua leo

WAZIRI Mkuu wa Finland, Jyrki Katainen atafanya ziara ya kikazi nchini ya siku mbili kuanzia kesho. Katainen anategemewa kuwasili leo usiku akitokea Addis Ababa, Ethiopia, na kesho atafanyiwa mapokezi rasmi na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Francis kutua Kenya leo

PopeFrancis-8NAIROBI, Kenya

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.

Wakati huohuo,  Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.

Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni  ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.

Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa  na baadaye  Jamhuri ya Afrika ya Kati...

 

11 years ago

GPL

YEMI ALADE KUTUA BONGO LEO

Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Mkali wa ngoma ya Johnny, Yemi Alade, hatimaye anatarajiwa kutua Bongo saa tano usiku, leo Jumanne, Agosti 5, 2014 tayari kwa kukinukisha kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini ambalo limebakiza siku chache kabla ya kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014. Mkali wa ngoma ya Johnny kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade. Akipiga stori na Showbiz, mratibu wa tamasha hilo,...

 

11 years ago

Mtanzania

Patrick Phiri kutua leo nchini

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.

Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani