Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saa 24 za hatari kwa Okwi, Mosoti

 Saa 24 zimebaki kabla ya mshambuliaji, Emmanuel Okwi wa Yanga na beki Donald Mosoti wa Simba kutangazwa kuwa si wachezaji wa klabu hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Saa 48 za hatari kwa kiungo Yanga SC

Kiungo mpya wa Yanga, Lansana Kamara kutoka Sierra Leone ana saa 48 ngumu, hatari kwake kuishi nchini akisubiri majaliwa yake kwenye klabu hiyo ya mitaa ya Twiga na Jangwani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari

Utafiti umeeleza kuwa Watu wanaofanya kazi kwa saa nyingi wako hatarini kupata kiharusi

 

11 years ago

GPL

OKWI KUTUA LEO SAA 9:30

Emmanuel Okwi. Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi anatarajiwa kutua leo mchana majira ya saa 9:30 katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyererer akitokea nchini Uganda kwa shirika la ndege la Rwanda. Hii ni taarifa rasmi kwa wapenzi wa soka, wanacham na mashabiki kuwa rasmi mchezaji huyo atawasili leo na kupokelewa na viongozi wa klabu ya Yanga pamoja na mashabiki na wanachama kwa ujumla. Ujio wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Saa 48 hatari za Msenegali wa Simba

Mshambuliaji mpya wa  klabu ya Simba,  Papa Niang kutoka Senegal ana saa 48 za kuthibitisha ubora wake, vinginevyo  ataondoka kama wengine waliomtangulia.

 

10 years ago

GPL

Saa mbili za Mrwanda Yanga ni hatari

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda. Na Waandishi Wetu
UNAWEZA kusema ni umafia umefanyika baada ya mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda, kujiunga na Yanga akitokea Polisi Morogoro. Mrwanda alisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuwatumikia vijana hao wa Jangwani, juzi jioni na jana alifanya maajabu kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam. Awali,...

 

10 years ago

GPL

Saa mbili za Ngoma, Mghana Yanga ni hatari

Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma. Wilbert Molandi na Sweetbert Luonge
SAA mbili walizofanya mazoezi ya pamoja na Yanga, zimetosha kabisa kwa mashabiki wa timu hiyo kukubali uwezo wa mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma na Mghana, Joseph Zuttah. Wachezaji hao walitua nchini wikiendi iliyopita na juzi walifuzu vipimo vya afya, kisha jana wakaanza kazi rasmi uwanjani na mastaa wengine.Ngoma amepewa jezi namba 11 iliyokuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Saa 72 za Lulu Ndani Ya Gold Digger Ni Hatari

UNAPOONGELEA Muigizaji wa kike mwenye mvuto na anayejua kuigiza basi msanii huyo si mwingine unamuongelea binti mwenye nyota kali Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu, baada ya kimya cha muda mrefu kuwepo likizo Lulu kwa karudi kwa nguvu kubwa katika sinema.


Nakutonya ni zaidi ya saa 72 Lulu anasimama kuigiza huku wasanii anaoshiriki nao wakibadilishana naye akibadilisha nguo tu na kurudi katika scene nyingine baada ya kumaliza scene moja baada ya moja, bila kupumzika hata akiambiwa sasa...

 

10 years ago

GPL

Phiri atoa saa 336 first eleven ya hatari Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Waandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, ametoa wiki mbili au dakika 336 kabla ya kupata first eleven ya hatari itakayompa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu ujao. Phiri aliyetua Simba wiki iliyopita kuchukua mikoba ya Mcroatia, Zdravko Logarusic na Championi likawa gazeti la kwanza kuandika, yupo kisiwani Zanzibar akiendelea kuinoa timu hiyo. Phiri aliyeipa Simba...

 

9 years ago

Vijimambo

WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI


 Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki  majina hili kupata fursa ya kupiga kuraHapa ni karatasi ya upigaji kura kuanzia ya urais ubunge na udiwani baada ya kuhakiki jina lako unakuja hapa na kukabiziwa karatasi hizi tatu ili kukamirisha  zoezi zima na upigaji kura. Mwanachi akiakiki jina lake kwenye ubao wa majina ya wapigaji kura kituoni hapo
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani