Saa 48 za hatari kwa kiungo Yanga SC
Kiungo mpya wa Yanga, Lansana Kamara kutoka Sierra Leone ana saa 48 ngumu, hatari kwake kuishi nchini akisubiri majaliwa yake kwenye klabu hiyo ya mitaa ya Twiga na Jangwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXmeIACEcj0LXe5NNeKBIEIyAaFjJWchfTWpuRg8J-WB7KDaH8VB8UAfZcyY7zkJOhCxDJtzMLiKJk7i9TbW9fZ/sensuality1.jpg?width=650)
Saa mbili za Mrwanda Yanga ni hatari
Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda. Na Waandishi Wetu
UNAWEZA kusema ni umafia umefanyika baada ya mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda, kujiunga na Yanga akitokea Polisi Morogoro. Mrwanda alisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuwatumikia vijana hao wa Jangwani, juzi jioni na jana alifanya maajabu kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam. Awali,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRgcXaWxXwKicx5PMGBYfoEmNYYnsdrHTn*074EjzteGGiuzse*y0kUYBAJu5Esnv3a8hJzgdmQaYhKhKJluHKe/jhgff.gif?width=650)
Saa mbili za Ngoma, Mghana Yanga ni hatari
Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma. Wilbert Molandi na Sweetbert Luonge
SAA mbili walizofanya mazoezi ya pamoja na Yanga, zimetosha kabisa kwa mashabiki wa timu hiyo kukubali uwezo wa mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma na Mghana, Joseph Zuttah. Wachezaji hao walitua nchini wikiendi iliyopita na juzi walifuzu vipimo vya afya, kisha jana wakaanza kazi rasmi uwanjani na mastaa wengine.Ngoma amepewa jezi namba 11 iliyokuwa...
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Saa 24 za hatari kwa Okwi, Mosoti
 Saa 24 zimebaki kabla ya mshambuliaji, Emmanuel Okwi wa Yanga na beki Donald Mosoti wa Simba kutangazwa kuwa si wachezaji wa klabu hizo.
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari
Utafiti umeeleza kuwa Watu wanaofanya kazi kwa saa nyingi wako hatarini kupata kiharusi
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Yanga kileleni kwa saa 24
Ndoto za Simba kuziondoa Yanga na Mtibwa kwenye nafasi ya pili na tatu ya msimamo wa ligi kwa mara ya kwanza msimu huu zitaendelea kusubiri kwa wiki kadhaa baada ya timu hizo kushinda jana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMq0cPseOfPvVC5zMNI1vxETx*5FksPveytZ2qX5Hkcy6bZZeZI06qoeW6*rxBV8A5DLtsl8wfMGDqS*gN0EJvH3/yanga.gif?width=650)
Yanga yasajiliwa kiungo
Na Sweetbert Lukonge
KLABU ya soka ya Yanga jana iliwapa mikataba mipya wachezaji wake watatu, kiungo Omega Seme na mabeki Oscar Joshua na Juma Abdul. Yanga imeanza kucharuka na kuwapa wachezaji wake mikataba mipya baada ya Didier Kavumbagu na Frank Domayo kutimkia Azam FC hivi karibuni. Ni sawa na kusema kuwa Omega ndiye mchezaji mpya kwenye lisiti hiyo kwa kuwa msimu uliopita hakuwa na kikosi hicho baada ya kupelekwa Prisons...
9 years ago
Habarileo22 Dec
Yanga kumlea kiungo wa Rayon
- JONES Na Grace Mkojera KLABU ya Yanga imesema kiungo wa Rayon Sports Jerome Sina ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha timu hiyo kujinoa kwa mazoezi wakiendelea kutazama kiwango chake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIn7jqG4WEY9*ym7V-JbXVosJf1oHaV0q65ragfzZCO5TTpdCMbgCjnvhwV84hV2qSlsj3Iplo3eZ95rPo8KxR8k/yanga.jpg?width=650)
Yanga yasajili kiungo usiku
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KLABU ya Yanga, jana usiku ilitarajiwa kumsainisha kiungo wa Taifa Stars, Said Juma.
Inadaiwa kuwa, aliyekuwa kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ndiye aliyetoa mapendekezo ya kusajiliwa kwa kiungo huyo. Jana usiku, Yanga ilitarajiwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili lakini kama ingeshindikana jana, basi anaweza akasajiliwa ndani ya siku mbili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/T*Jd5VJ-te1jPfCpsfIYQ3CWz8dpN1aoDCtAnhP0NHaN4i0hxKYd6fU*Ewp0jmt0Lu2g91U3nmHHb0Ku3X-YEJVkYdl35yi8/kiungo.gif?width=650)
Kiungo Yanga apoteza fahamu uwanjani
Kiungo mkabaji wa Yanga, Said Juma Makapu akitolewa uwanjani baada ya kuanguka na kupoteza fahamu.
Nassor Gallu,Tanga
FURAHA ya wachezaji wa Yanga juu ya ushindi wao dhidi ya Mgambo JKT ilizimika ghafla baada ya kiungo mkabaji wa timu hiyo, Said Juma Makapu kuanguka na ‘kuzimia’ akiwa uwanjani.Katika mchezo huo ambao Yanga walipata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe na Simon Msuva, kiungo huyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania