Yanga yasajiliwa kiungo
![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMq0cPseOfPvVC5zMNI1vxETx*5FksPveytZ2qX5Hkcy6bZZeZI06qoeW6*rxBV8A5DLtsl8wfMGDqS*gN0EJvH3/yanga.gif?width=650)
Na Sweetbert Lukonge KLABU ya soka ya Yanga jana iliwapa mikataba mipya wachezaji wake watatu, kiungo Omega Seme na mabeki Oscar Joshua na Juma Abdul. Yanga imeanza kucharuka na kuwapa wachezaji wake mikataba mipya baada ya Didier Kavumbagu na Frank Domayo kutimkia Azam FC hivi karibuni. Ni sawa na kusema kuwa Omega ndiye mchezaji mpya kwenye lisiti hiyo kwa kuwa msimu uliopita hakuwa na kikosi hicho baada ya kupelekwa Prisons...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIn7jqG4WEY9*ym7V-JbXVosJf1oHaV0q65ragfzZCO5TTpdCMbgCjnvhwV84hV2qSlsj3Iplo3eZ95rPo8KxR8k/yanga.jpg?width=650)
Yanga yasajili kiungo usiku
9 years ago
Habarileo22 Dec
Yanga kumlea kiungo wa Rayon
- JONES Na Grace Mkojera KLABU ya Yanga imesema kiungo wa Rayon Sports Jerome Sina ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha timu hiyo kujinoa kwa mazoezi wakiendelea kutazama kiwango chake.
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Saa 48 za hatari kwa kiungo Yanga SC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/T*Jd5VJ-te1jPfCpsfIYQ3CWz8dpN1aoDCtAnhP0NHaN4i0hxKYd6fU*Ewp0jmt0Lu2g91U3nmHHb0Ku3X-YEJVkYdl35yi8/kiungo.gif?width=650)
Kiungo Yanga apoteza fahamu uwanjani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NagjRItG3EFv5MTHiJTQhxIVklTv1LsHYf-snXHiGvSufJ8*kkQgCMxUydzPxP0FhDIN6FekJq1BNVelU81h7M20/ttt.jpg?width=650)
Kiungo mpya awafunika mastaa wote Yanga
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s72-c/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera amwaga wino Yanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s1600/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera Neves Roque pichani kushoto akisaini mkataba leo jijini Dar,wa kutumikia Klabu ya Young Africans,Kulia ni Afisa Habari wa klabu hiyo Baraka Kizuguto.
Dar es Salaam. Wakati Yanga ikimpa mkataba wa mwaka mmoja kiungo Emerson De Oliveira, watani zao Simba wamemtema rasmi mshambuliaji Paul Kiongera.
Emerson amesaini mkataba huo baada ya benchi la ufundi chini ya Mbrazil Marcio Maximo kuridhika na kiwango chake na sasa ataitumikia timu hiyo ya Jangwani.
Emerson...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Magari 68 yenye majina binafsi yasajiliwa TRA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili magari yenye majina binafsi 68, ambayo yameipatia serikali sh milioni 340. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Yeremia Mbaghi, alisema hayo hivi...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kiungo Mzimbabwe atua Simba
KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Kiungo Esperance atoa siri