Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magari 68 yenye majina binafsi yasajiliwa TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili magari yenye majina binafsi 68, ambayo yameipatia serikali sh milioni 340. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Yeremia Mbaghi, alisema hayo hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

List ya wachezaji soka wanne wenye majina yenye maana za kustaajabisha …

Nimekutana na hii mtu wangu list ya wachezaji soka ambao majina yao yana maana tofauti na yanachekesha sana ukiyasoma. Wakati mwingine kama unaweza kumuita mchezaji mbele za watu wasio mfahamu wanaweza kujua una maana tofauti, mfano kuna mchezaji anaitwa Drinkwater kwa kiswahili ni kunywa maji. Hii nimeikuta sokkaa.com. 4- Argelico Fucks huyu ni mchezaji wa zamani […]

The post List ya wachezaji soka wanne wenye majina yenye maana za kustaajabisha … appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Magari yenye picha za rais yakamatwa

Magari sita yakiwemo mawili yaliokuwa na picha ya Uhuru yalikamatwa,licha ya rais kuruhusu wamiliki wa matatu kuchora picha.

 

11 years ago

Mwananchi

Toyota yajipanga kupokea magari yenye hitilafu

>Kampuni ya Toyota Tanzania inatarajia kutoa tangazo ili kufafanua juu ya urejeshwaji magari yaliyobainika kuwa na kasoro za kiufundi.

 

10 years ago

Vijimambo

Watanzania wa UK wagomea mradi mchafu wa kukaguliwa magari yao na kampuni binafsi.

Ndugu Mabloger na wana libeneke wakubwa
Mwanzo wa yote nataraji kuwa wote mko salama na mnaendelea vyema na uchapaji kazi kama kawaida.
Rejea kichwa cha habari hapo juu,tunaomba mtu peperushie hii habari ili wahusika wajue kitu wanachokifanya sio sawa na wasijaribu kutuburuza bila kutumia busara na kufuata sheria.
Ukitazama kwenye attachment utaona tangazo la TBS ambalo wanatangaza kuanzia tarehe 16/03/2015.Kuna kampuni binafsi inayomilikiwa na watanzania hapa Uk,ambao wanasemekana wameshinda...

 

11 years ago

Habarileo

TRA kutoa TIN, stika za magari Sabasaba

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kutoa huduma za namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN) kwa watu binafsi, na stika za ada ya magari kwa mwaka katika maonesho ya Sabasaba.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mayweather aringishia magari yenye thamani tshs bilioni 13 na private jet

Floyd Mayweather hakujipa jina la utani ‘Money’ kwa kubahatisha. Bondia huyo ambaye kwa mujibu wa Forbes ndiye mwanamichezo aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka jana duniani, amepost picha Instagram akiwa amesimama mbele ya magari yake ya kifahari ambayo kwa pamoja yana thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 13.1 na ndege yake binafsi. “Welcome to my toy […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwenge wa Uhuru wazindua magari mapya ya kampuni ya Green Waste Pro Ltd yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.6

Kiongozi wa Wakimbiza Mwenge Kitaifa, Bw. Juma Khatibu Chum akiwa ameshika Mwenge baada ya kufika mtaa wa Kisutu jijini Dar kwenye uzinduzi wa magari mapya ya kuzoa taka katika manispaa ya Ilala yanayomilikiwa na kampuni ya Green WastePro ltd.(Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akizungumza jambo mara baada ya Mwenge wa Uhuru kufika eneo la Kisutu jijini Dar kwa ajili ya ufunguzi wa Magari ya kisasa ya kuzoa taka.

  Kiongozi wa mbio za...

 

5 years ago

Michuzi

JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI

Charles James, Globu ya Jamii
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani