Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wa UK wagomea mradi mchafu wa kukaguliwa magari yao na kampuni binafsi.

Ndugu Mabloger na wana libeneke wakubwa
Mwanzo wa yote nataraji kuwa wote mko salama na mnaendelea vyema na uchapaji kazi kama kawaida.
Rejea kichwa cha habari hapo juu,tunaomba mtu peperushie hii habari ili wahusika wajue kitu wanachokifanya sio sawa na wasijaribu kutuburuza bila kutumia busara na kufuata sheria.
Ukitazama kwenye attachment utaona tangazo la TBS ambalo wanatangaza kuanzia tarehe 16/03/2015.Kuna kampuni binafsi inayomilikiwa na watanzania hapa Uk,ambao wanasemekana wameshinda...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Magari makubwa ya abiria kukaguliwa

SERIKALI ipo kwenye mpango wa lazima kukagua magari makubwa ya abiria kila mwaka na kuwafutia leseni madereva walevi katika harakati za kupunguza ajali barabarani. Hayo, yalisemwa Dar es Salaam jana...

 

10 years ago

GPL

NIT KUPIMA MAGARI YOTE YALIYOINGIA NCHINI BILA KUKAGULIWA

Shirika la viwango Tanzania (TBS) lilianzisha huduma ya kukagua magari yaliyotumika kutoka nje ya nchi tangu mwaka wa 2002. Lengo ni kuhakikisha magari yaliyotumika yanayoagizwa kutoka nje ya nchi yanakidhi kiwango cha magari yaliyotumika na yanafaa kuendeshwa barabarani. TBS imekuwa ikipata mawakala wa ukaguzi wa magari nje ya nchi kwa kutangaza zabuni za kimataifa. Kupima ubora wa bidhaa yakiwemo magari kwenye nchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Barcelona wagomea uzi mpya wa timu yao

Nguvu ya umma haizuiliki. Hivyo, ndivyo unavyoweza kueleza uamuzi wa mashabiki wa klabu ya Barcelona kukataa jezi mpya za klabu hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magari 68 yenye majina binafsi yasajiliwa TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili magari yenye majina binafsi 68, ambayo yameipatia serikali sh milioni 340. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Yeremia Mbaghi, alisema hayo hivi...

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa kukwamua kilimo sekta binafsi

MRADI wa miaka mitano wenye lengo la kubadili sera, sheria na taratibu zinazozuia kukua kwa sekta binafsi katika sekta ya kilimo umezinduliwa jijini Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kuwa na kampuni binafsi

Imekuwa ni kawaida kwa Watanzania wengi kufanyabiashara bila ya kuwa na kampuni rasmi iliyosajiliwa hata kama wana mitaji mikubwa. Athari za kuendesha biashara isiyo sajiliwa ni pamoja na kujikuta unakosa zabuni kubwa za kiserikali na kwa makampuni makubwa, unaweza kukosa kufanya biashara kimataifa.

 

10 years ago

Michuzi

Washindi wa Promesheni ya Airtel yatosha Zaidi wakabithiwa magari yao

Meneja Biashara wa Airtel Kanda ya Dar es Salaam, Fredrick Mwakitwange (kulia), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST lililosajiliwa kwa namba T 782 DCZ, kwa mmoja wa washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Donald Fred Baruti katika hafla iliyofanyika nyumbani kwa mshindi huyo, Mtaa wa Ngala, eneo la Magomeni Mwembechai jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando.Meneja Biashara wa Airtel Kanda ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni zisipewe uegeshaji wa magari

Sababu kubwa za kampuni kuundwa ni kutengeneza faida itakayotokana na shughuli wanazofanya.

 

9 years ago

Mwananchi

Magari yanayozidisha uzito yanapogeuzwa mradi wa barabara

Kumekuwa na tuhuma kwamba usafirishaji wa mizigo na abiria kwa njia ya Reli ya Kati na Tazara umekuwa ukihujumiwa kwa makusudi ili wamiliki binafsi wa malori na mabasi wachume fedha kwa kufanya biashara hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani