Watanzania wa UK wagomea mradi mchafu wa kukaguliwa magari yao na kampuni binafsi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1mV78BByC4M/VQJPG9L61MI/AAAAAAADb7w/ZjKr2j1V_-I/s72-c/IMG-20150312-WA0008.jpg)
Ndugu Mabloger na wana libeneke wakubwa
Mwanzo wa yote nataraji kuwa wote mko salama na mnaendelea vyema na uchapaji kazi kama kawaida.
Rejea kichwa cha habari hapo juu,tunaomba mtu peperushie hii habari ili wahusika wajue kitu wanachokifanya sio sawa na wasijaribu kutuburuza bila kutumia busara na kufuata sheria.
Ukitazama kwenye attachment utaona tangazo la TBS ambalo wanatangaza kuanzia tarehe 16/03/2015.Kuna kampuni binafsi inayomilikiwa na watanzania hapa Uk,ambao wanasemekana wameshinda...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Magari makubwa ya abiria kukaguliwa
SERIKALI ipo kwenye mpango wa lazima kukagua magari makubwa ya abiria kila mwaka na kuwafutia leseni madereva walevi katika harakati za kupunguza ajali barabarani. Hayo, yalisemwa Dar es Salaam jana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3sxIGOMJ7Wx0g1SMv1d3lD-2P5nYdaClSI1pA*joNNIBdxSpH9BhgGLEFs7y2iOspe*8go*qJDkrAcb3B2yQGMoS/tbs_logo.gif)
NIT KUPIMA MAGARI YOTE YALIYOINGIA NCHINI BILA KUKAGULIWA
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mashabiki wa Barcelona wagomea uzi mpya wa timu yao
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Magari 68 yenye majina binafsi yasajiliwa TRA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili magari yenye majina binafsi 68, ambayo yameipatia serikali sh milioni 340. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Yeremia Mbaghi, alisema hayo hivi...
10 years ago
Habarileo01 Oct
Mradi wa kukwamua kilimo sekta binafsi
MRADI wa miaka mitano wenye lengo la kubadili sera, sheria na taratibu zinazozuia kukua kwa sekta binafsi katika sekta ya kilimo umezinduliwa jijini Dar es Salaam jana.
11 years ago
Mwananchi29 May
Jinsi ya kuwa na kampuni binafsi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3LtMdW5uPMw/VO7HsIeGexI/AAAAAAAHF9w/qHDWwnGaT8E/s72-c/1.jpg)
Washindi wa Promesheni ya Airtel yatosha Zaidi wakabithiwa magari yao
![](http://4.bp.blogspot.com/-3LtMdW5uPMw/VO7HsIeGexI/AAAAAAAHF9w/qHDWwnGaT8E/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ioB-xKF-nes/VO7H3ugMHBI/AAAAAAAHF-Q/dEsLYfD9CDo/s1600/6.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Kampuni zisipewe uegeshaji wa magari
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Magari yanayozidisha uzito yanapogeuzwa mradi wa barabara