Washindi wa Promesheni ya Airtel yatosha Zaidi wakabithiwa magari yao
![](http://4.bp.blogspot.com/-3LtMdW5uPMw/VO7HsIeGexI/AAAAAAAHF9w/qHDWwnGaT8E/s72-c/1.jpg)
Meneja Biashara wa Airtel Kanda ya Dar es Salaam, Fredrick Mwakitwange (kulia), akikabidhi funguo za gari jipya aina ya Toyota IST lililosajiliwa kwa namba T 782 DCZ, kwa mmoja wa washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Donald Fred Baruti katika hafla iliyofanyika nyumbani kwa mshindi huyo, Mtaa wa Ngala, eneo la Magomeni Mwembechai jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (katikati) ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando.
Meneja Biashara wa Airtel Kanda ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mu_zDW4rHN0/VSYvG327x9I/AAAAAAAHPuo/gY0c8uvBTHA/s72-c/1.jpg)
WASHINDI WA DROO YA MWISHO YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI YAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mu_zDW4rHN0/VSYvG327x9I/AAAAAAAHPuo/gY0c8uvBTHA/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TivceCWwZLo/VSYvG6goJNI/AAAAAAAHPu4/ttWhOSDfyB4/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJ6dVVgy*GUDelfnLEUnCS0Dk-thDFWC0F5zps4Di7fi09i39DqW5BJlnqM-mef8ZDBtN8SmE*0d3fuygIu*F1T/IMG_6234.jpg?width=750)
WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IbcYGNPVoMM/VNhcTsnjiqI/AAAAAAAHChw/iYqQWB2-ZpE/s72-c/2.jpg)
MKULIMA, MWALIMU WASHINDA MAGARI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-IbcYGNPVoMM/VNhcTsnjiqI/AAAAAAAHChw/iYqQWB2-ZpE/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WhPt3Rmv9Fc/VNXm8-7oXEI/AAAAAAAHCU8/-qJhl89kR4o/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Airtel yaitambulisha promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi kwa wakazi wa Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-WhPt3Rmv9Fc/VNXm8-7oXEI/AAAAAAAHCU8/-qJhl89kR4o/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jUmg1SnCuAg/VNXm8wGNTjI/AAAAAAAHCVE/3QmmbXZg-ew/s1600/Picture%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_zhRquDgj20/VNoYUkCPs7I/AAAAAAAHC1s/CC2bDSkuvfU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Airtel yazindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi kwa Wakazi wa Mwaza
![](http://4.bp.blogspot.com/-_zhRquDgj20/VNoYUkCPs7I/AAAAAAAHC1s/CC2bDSkuvfU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZTQ5pRHGofs/VNoYUqZmxMI/AAAAAAAHC1o/9vPpAM0JGkI/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa6nLU6D1zO6s1aydvigh7pCMMMcfSJbUKfSBZLmlnI*hcaR9vGQm8kGJBHfIv7HBAhraOTOw-F*xmLEZrqRk3d9/Picture1.jpg?width=750)
AIRTEL YAITAMBULISHA PROMOSHENI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI KWA WAKAZI WA ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZlqwxGbblg/VN3D1uSfMDI/AAAAAAAHDeU/WvKd9Og2FpQ/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Airtel Yatangaza kufanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Meya Silaa akabidhi magari ya Airtel Yatosha
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
MEYA wa Ilala, Jerry Silaa, amekabidhi magari kwa washindi saba wa promosheni ya Airtel Yatosha promosheni inayoendeshwa na Kampuni ya Simu ya Airtel kwa wateja wa bando za Yatosha Zaidi.
Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana na washindi hao waliotangazwa wiki iliyopita kukabidhiwa magari yao mapya aina ya Toyota IST.
Washindi hao ni mamalishe mkazi wa Dar es Salaam, Sakina Mshamu Libwana, mganga wa tiba asilia kutoka Katavi Said Mashiko, utingo wa...