Meya Silaa akabidhi magari ya Airtel Yatosha
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
MEYA wa Ilala, Jerry Silaa, amekabidhi magari kwa washindi saba wa promosheni ya Airtel Yatosha promosheni inayoendeshwa na Kampuni ya Simu ya Airtel kwa wateja wa bando za Yatosha Zaidi.
Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana na washindi hao waliotangazwa wiki iliyopita kukabidhiwa magari yao mapya aina ya Toyota IST.
Washindi hao ni mamalishe mkazi wa Dar es Salaam, Sakina Mshamu Libwana, mganga wa tiba asilia kutoka Katavi Said Mashiko, utingo wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI
Mkurugenzi wa masoko wa Airtel bw. Levi Nyakundi (kushoto) akimkabidhi mmoja kati ya washindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu Omary jana katika makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel Tanzania. Anayeshuhudia (katikati) Mkurugenzi wa wa kitengo cha Mawasiliano bi Beatrice Singano Mallaya . Airtel imekabidhi magari matatu katika hafla hiyo. Mshindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu...
10 years ago
Michuzi
MKULIMA, MWALIMU WASHINDA MAGARI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI

10 years ago
Michuzi
Washindi wa Promesheni ya Airtel yatosha Zaidi wakabithiwa magari yao


10 years ago
Michuzi
WASHINDI WA DROO YA MWISHO YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI YAO


10 years ago
Michuzi
Airtel yaitambulisha promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi kwa wakazi wa Arusha


10 years ago
Michuzi.jpg)
Airtel yazindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi kwa Wakazi wa Mwaza
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Airtel Yatangaza kufanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo itafanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi ambapo washindi 7 wa gari aina ya Toyota IST watapatikana na kutangazwa
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
10 years ago
GPL
AIRTEL YAITAMBULISHA PROMOSHENI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI KWA WAKAZI WA ARUSHA
 Meneja Mauzo kanda ya kaskazini Bwana Brighton Majwala akiongea na waandishi wa habari wakati wa kuitambulisha promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi Mkoani Arusha , wakishuhudia (katika) Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akifatiwa na Afisa Masoko wa Airtel Bi Rebecca Mauma
 Meneja Mauzo kanda…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania