WASHINDI WA DROO YA MWISHO YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI YAO

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST, kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’, Tipwa Rashid Mapunda (kushoto), katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia (kutoka wa pili kushoto) ni washindi wengine wa droo hiyo, William Saimon Sondi na Boutrous Hebron Mwanjali.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI
10 years ago
Michuzi
Washindi wa Promesheni ya Airtel yatosha Zaidi wakabithiwa magari yao


10 years ago
Michuzi
Airtel Yatangaza kufanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
10 years ago
Michuzi
MKULIMA, MWALIMU WASHINDA MAGARI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI

10 years ago
Michuzi.jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
11 years ago
MichuziWashindi wawili wa droo ya winda safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao
11 years ago
Michuzi
washindi wa droo ya nane ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti wakabidhiwa zawadi zao


10 years ago
Michuzi.jpg)
Airtel yazindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi kwa Wakazi wa Mwaza
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Airtel yaitambulisha promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi kwa wakazi wa Arusha

