NIT KUPIMA MAGARI YOTE YALIYOINGIA NCHINI BILA KUKAGULIWA
![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3sxIGOMJ7Wx0g1SMv1d3lD-2P5nYdaClSI1pA*joNNIBdxSpH9BhgGLEFs7y2iOspe*8go*qJDkrAcb3B2yQGMoS/tbs_logo.gif)
Shirika la viwango Tanzania (TBS) lilianzisha huduma ya kukagua magari yaliyotumika kutoka nje ya nchi tangu mwaka wa 2002. Lengo ni kuhakikisha magari yaliyotumika yanayoagizwa kutoka nje ya nchi yanakidhi kiwango cha magari yaliyotumika na yanafaa kuendeshwa barabarani. TBS imekuwa ikipata mawakala wa ukaguzi wa magari nje ya nchi kwa kutangaza zabuni za kimataifa. Kupima ubora wa bidhaa yakiwemo magari kwenye nchi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Feb
NIT, TBS kukagua magari yanayoingia nchini
CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kinatarajia kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kukagua magari yanayoingia nchini. Akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mkuu wa Chuo, Dk Zacharia Mganilwa alisema lengo ni kukagua ubora wa magari yanayoingizwa kutoka nchi ambazo hazina wakala wa ukaguzi.
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Magari makubwa ya abiria kukaguliwa
SERIKALI ipo kwenye mpango wa lazima kukagua magari makubwa ya abiria kila mwaka na kuwafutia leseni madereva walevi katika harakati za kupunguza ajali barabarani. Hayo, yalisemwa Dar es Salaam jana...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1mV78BByC4M/VQJPG9L61MI/AAAAAAADb7w/ZjKr2j1V_-I/s72-c/IMG-20150312-WA0008.jpg)
Watanzania wa UK wagomea mradi mchafu wa kukaguliwa magari yao na kampuni binafsi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1mV78BByC4M/VQJPG9L61MI/AAAAAAADb7w/ZjKr2j1V_-I/s1600/IMG-20150312-WA0008.jpg)
Mwanzo wa yote nataraji kuwa wote mko salama na mnaendelea vyema na uchapaji kazi kama kawaida.
Rejea kichwa cha habari hapo juu,tunaomba mtu peperushie hii habari ili wahusika wajue kitu wanachokifanya sio sawa na wasijaribu kutuburuza bila kutumia busara na kufuata sheria.
Ukitazama kwenye attachment utaona tangazo la TBS ambalo wanatangaza kuanzia tarehe 16/03/2015.Kuna kampuni binafsi inayomilikiwa na watanzania hapa Uk,ambao wanasemekana wameshinda...
10 years ago
Habarileo19 Mar
NIT kukagua magari yanayotoka nje
SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia mkataba na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kufanya ukaguzi wa magari yanayoingizwa nchini kutoka katika nchi ambazo hazina mawakala wa ukaguzi.
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5
Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.
Na Andrew Chale modewji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhyQIjXJpVOcjkhnHEoLW8KSxxSHRWvmJkxiXRZxEC8AbK1J3dB15wiopkA*93r*IkFmESchXCsr7FegrTqOHU/mahaba.jpg?width=650)
UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9215.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE KAMBI YA KUPIMA AFYA BILA MALIPO KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5