NIT, TBS kukagua magari yanayoingia nchini
CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kinatarajia kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kukagua magari yanayoingia nchini. Akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mkuu wa Chuo, Dk Zacharia Mganilwa alisema lengo ni kukagua ubora wa magari yanayoingizwa kutoka nchi ambazo hazina wakala wa ukaguzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Mar
NIT kukagua magari yanayotoka nje
SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia mkataba na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kufanya ukaguzi wa magari yanayoingizwa nchini kutoka katika nchi ambazo hazina mawakala wa ukaguzi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4xsWddAon2Q/VkOcglD_eFI/AAAAAAAIFVw/pWDFb4oMsow/s72-c/se.png)
SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD WAZEE WA KAZI WAKALA WA TBS KUKAGUA MAGARI YAENDAYO TANZANIA KUTOKA UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4xsWddAon2Q/VkOcglD_eFI/AAAAAAAIFVw/pWDFb4oMsow/s640/se.png)
PORT OF IMMINGHAM BRANCH:SERENGETI GLOBAL SERVICES LTDUNIT 1 MANBY ROADIMMINGHAMDN40 2LH
PORT OF SHEERNESS BRANCH:SERENGETI GLOBAL SERVICES LTDUNIT 1 RUSHENDEN ROADQUEENSBOROUGHSHEERNESS, KENTME1 5HL
BOOKINGS ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3sxIGOMJ7Wx0g1SMv1d3lD-2P5nYdaClSI1pA*joNNIBdxSpH9BhgGLEFs7y2iOspe*8go*qJDkrAcb3B2yQGMoS/tbs_logo.gif)
NIT KUPIMA MAGARI YOTE YALIYOINGIA NCHINI BILA KUKAGULIWA
11 years ago
Habarileo22 May
Mbunge- Magari yanayoingia katikati Dar yatozwe
MBUNGE wa Ilala, Iddi Zungu (CCM), ametaka magari yanayoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kutozwa fedha ili kudhibiti msongamano wa magari katika jiji hilo na kuepuka watu wenye magari wanaoingia bila kuwa na kazi maalumu.
10 years ago
Daily News13 Feb
NIT, TBS sign vehicle inspection agreement
IPPmedia
Daily News
THE Tanzania Bureau of Standards (TBS) has entered into an agreement with the National Institute of Transport (NIT), in which the latter will conduct inspections for imported vehicles locally to check their roadworthiness. This would allow the state owned ...
TBS gives NIT power of attorney to inspect all vehicles' safety, roadworthinessIPPmedia
all 2
10 years ago
AllAfrica.Com18 Feb
TBS, NIT Deal On Vehicle Inspection a Stitch in Time
AllAfrica.com
LAST week in Dar es Salaam, two public institutions signed a landmark agreement for vehicle inspections locally for road worthiness, a move that would restrain defective motor vehicles on the roads and reduce incidents of accidents caused by faulty ...
10 years ago
IPPmedia13 Feb
TBS gives NIT power of attorney to inspect all vehicles' safety, roadworthiness
IPPmedia
IPPmedia
NIT rector Dr Zacharia Mganilwa (R) and TBS acting Director General Joseph Masikitiko (L) exchange legal documents after the signing ceremony that will allow NIT to inspect all vehicles. The National Institute of Transport (NIT) has signed a pact with ...
9 years ago
Habarileo20 Aug
TBS kukagua viwanda vya mkate
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza kuanza msako dhidi ya viwanda vya mikate ambavyo havipasishwa na shirika hilo.
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)