Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIT, TBS kukagua magari yanayoingia nchini

CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kinatarajia kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kukagua magari yanayoingia nchini. Akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mkuu wa Chuo, Dk Zacharia Mganilwa alisema lengo ni kukagua ubora wa magari yanayoingizwa kutoka nchi ambazo hazina wakala wa ukaguzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

NIT kukagua magari yanayotoka nje

Mwenyekiti wa Bodi ya TBS, Profesa Cuthbert MhiluSHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia mkataba na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kufanya ukaguzi wa magari yanayoingizwa nchini kutoka katika nchi ambazo hazina mawakala wa ukaguzi.

 

9 years ago

Michuzi

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD WAZEE WA KAZI WAKALA WA TBS KUKAGUA MAGARI YAENDAYO TANZANIA KUTOKA UINGEREZA

TUNAPENDA KUWAJULISHA KUA TUMEFUNGUA MATAWI MAPYA ILI KUKIDHI MAHITAJI YA WATEJA WETU

KWA SASA TUNA KARAKANA KWENYE BANDARI ZOTE KUU NCHINI UINGEREZA

PORT OF TILBURY BRANCH (HEAD OFFICE):

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 16D TILBURY INDUSTRIAL COMPLEX

TILBURY FREEPORT

TILBURY, ESSEX

RM 18 7HB


PORT OF IMMINGHAM BRANCH:

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 1 MANBY ROAD

IMMINGHAM

DN40 2LH


PORT OF SHEERNESS BRANCH:

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 1 RUSHENDEN ROAD

QUEENSBOROUGH

SHEERNESS, KENT

ME1 5HL


BOOKINGS ...

 

10 years ago

GPL

NIT KUPIMA MAGARI YOTE YALIYOINGIA NCHINI BILA KUKAGULIWA

Shirika la viwango Tanzania (TBS) lilianzisha huduma ya kukagua magari yaliyotumika kutoka nje ya nchi tangu mwaka wa 2002. Lengo ni kuhakikisha magari yaliyotumika yanayoagizwa kutoka nje ya nchi yanakidhi kiwango cha magari yaliyotumika na yanafaa kuendeshwa barabarani. TBS imekuwa ikipata mawakala wa ukaguzi wa magari nje ya nchi kwa kutangaza zabuni za kimataifa. Kupima ubora wa bidhaa yakiwemo magari kwenye nchi...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge- Magari yanayoingia katikati Dar yatozwe

MBUNGE wa Ilala, Iddi Zungu (CCM), ametaka magari yanayoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kutozwa fedha ili kudhibiti msongamano wa magari katika jiji hilo na kuepuka watu wenye magari wanaoingia bila kuwa na kazi maalumu.

 

10 years ago

Daily News

NIT, TBS sign vehicle inspection agreement


IPPmedia
NIT, TBS sign vehicle inspection agreement
Daily News
THE Tanzania Bureau of Standards (TBS) has entered into an agreement with the National Institute of Transport (NIT), in which the latter will conduct inspections for imported vehicles locally to check their roadworthiness. This would allow the state owned ...
TBS gives NIT power of attorney to inspect all vehicles' safety, roadworthinessIPPmedia

all 2

 

10 years ago

AllAfrica.Com

TBS, NIT Deal On Vehicle Inspection a Stitch in Time


TBS, NIT Deal On Vehicle Inspection a Stitch in Time
AllAfrica.com
LAST week in Dar es Salaam, two public institutions signed a landmark agreement for vehicle inspections locally for road worthiness, a move that would restrain defective motor vehicles on the roads and reduce incidents of accidents caused by faulty ...

 

10 years ago

IPPmedia

TBS gives NIT power of attorney to inspect all vehicles' safety, roadworthiness


IPPmedia
TBS gives NIT power of attorney to inspect all vehicles' safety, roadworthiness
IPPmedia
NIT rector Dr Zacharia Mganilwa (R) and TBS acting Director General Joseph Masikitiko (L) exchange legal documents after the signing ceremony that will allow NIT to inspect all vehicles. The National Institute of Transport (NIT) has signed a pact with ...

 

9 years ago

Habarileo

TBS kukagua viwanda vya mkate

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetangaza kuanza msako dhidi ya viwanda vya mikate ambavyo havipasishwa na shirika hilo.

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT), Dkt. Zakaria Mganilwa ofisini kwake kabla ya kupokea magari mawili ambayo yamekabidhiwa kwa chuo hicho na Shirika la Transaid la nchini Uingereza, hafla ya kukabidhi magari hayo imefanyika leo asubuhi katika viwanja vya NIT. Taswira ya tanker trailer la futi 40 na Folk Lift ambayo yamekabidhiwa kwa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) na Kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani