Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIT kukagua magari yanayotoka nje

Mwenyekiti wa Bodi ya TBS, Profesa Cuthbert MhiluSHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia mkataba na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kufanya ukaguzi wa magari yanayoingizwa nchini kutoka katika nchi ambazo hazina mawakala wa ukaguzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

NIT, TBS kukagua magari yanayoingia nchini

CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kinatarajia kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kukagua magari yanayoingia nchini. Akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mkuu wa Chuo, Dk Zacharia Mganilwa alisema lengo ni kukagua ubora wa magari yanayoingizwa kutoka nchi ambazo hazina wakala wa ukaguzi.

 

10 years ago

GPL

NIT KUPIMA MAGARI YOTE YALIYOINGIA NCHINI BILA KUKAGULIWA

Shirika la viwango Tanzania (TBS) lilianzisha huduma ya kukagua magari yaliyotumika kutoka nje ya nchi tangu mwaka wa 2002. Lengo ni kuhakikisha magari yaliyotumika yanayoagizwa kutoka nje ya nchi yanakidhi kiwango cha magari yaliyotumika na yanafaa kuendeshwa barabarani. TBS imekuwa ikipata mawakala wa ukaguzi wa magari nje ya nchi kwa kutangaza zabuni za kimataifa. Kupima ubora wa bidhaa yakiwemo magari kwenye nchi...

 

9 years ago

Michuzi

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD WAZEE WA KAZI WAKALA WA TBS KUKAGUA MAGARI YAENDAYO TANZANIA KUTOKA UINGEREZA

TUNAPENDA KUWAJULISHA KUA TUMEFUNGUA MATAWI MAPYA ILI KUKIDHI MAHITAJI YA WATEJA WETU

KWA SASA TUNA KARAKANA KWENYE BANDARI ZOTE KUU NCHINI UINGEREZA

PORT OF TILBURY BRANCH (HEAD OFFICE):

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 16D TILBURY INDUSTRIAL COMPLEX

TILBURY FREEPORT

TILBURY, ESSEX

RM 18 7HB


PORT OF IMMINGHAM BRANCH:

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 1 MANBY ROAD

IMMINGHAM

DN40 2LH


PORT OF SHEERNESS BRANCH:

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 1 RUSHENDEN ROAD

QUEENSBOROUGH

SHEERNESS, KENT

ME1 5HL


BOOKINGS ...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT), Dkt. Zakaria Mganilwa ofisini kwake kabla ya kupokea magari mawili ambayo yamekabidhiwa kwa chuo hicho na Shirika la Transaid la nchini Uingereza, hafla ya kukabidhi magari hayo imefanyika leo asubuhi katika viwanja vya NIT. Taswira ya tanker trailer la futi 40 na Folk Lift ambayo yamekabidhiwa kwa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) na Kampuni ya...

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

11 years ago

GPL

WANACHUO NIT WAGOMA

Wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wanaolipiwa na Bodi ya Mikopo wakimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo hicho aliyekuwa akiongea nao. Makamu Mkuu wa Chuo akijaribu kuwatuliza wanachuo hao kwa kuwaahidi kushughulikia suala…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kujenga karakana NIT

SERIKALI inatarajia kujenga karakana  nne  katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) zitakazogharimu dola 300,000 ambazo zitakamilika mwakani. Akizungumza   jijini Dar es Salaam jana baada ya Kamati ya Miundombinu kutembelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani