Toyota yajipanga kupokea magari yenye hitilafu
>Kampuni ya Toyota Tanzania inatarajia kutoa tangazo ili kufafanua juu ya urejeshwaji magari yaliyobainika kuwa na kasoro za kiufundi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Oct
Maelfu ya magari ya Toyota yana hitilafu
Kampuni kubwa zaidi ya kuunda magari, Toyota, imeagiza kurejeshwa kwa magari milioni moja nukta saba kote duniani kutokana na hitilafu ya breki za magari hayo.
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Agizo la kurejesha magari ya Toyota
Kampuni ya kutengeza magari ya Toyota nchini Japan, imeagiza kurejeshwa kwa magari milioni 1.9 aina ya Prius kutokana na hitilafu.
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Toyota yaregesha magari milioni 6
Toyota imeagiza magari milioni 6.5 kurejeshwa viwandani ilikufanyiwa ukarabati kutokana na upungufu mbalimbali.
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Toyota; Magari milioni 6.5 yanahitilafu
Kampuni ya kutengenza magari ya Toyota imetoa ilani ya kurejeshwa magari zaidi ya milioni sita u nusu kote duniani.
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Toyota Dar nayo kurejeshewa magari
Wamiliki wa magari ya Toyota nchini wametakiwa kuhakiki magari yao na kuyarejesha kwa uchunguzi yale yatakayobainika kuwa na hitilafu za kiufundi katika mfumo wa baadhi ya vifaa vyake.
10 years ago
Vijimambo
MAGARI AINA YA NISSAN MURANO NA TOYOTA LAV4 YANAUZWA




10 years ago
Michuzi.jpg)
Airtel yakabadhi wakaazi wawili wa Mkoa wa Manyara magari aina ya Toyota IST
Wakaazi wa wawili wa wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kwa pamoja wamezawadiwa magari yao aina ya Toyota IST mara baada ya kuibuka washindi katika droo za promosheni ya Airtel yatosha Zaidi inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Mpaka sasa jumla ya washindi 37 wameshapatikana kutoka katika mikoa mbalimbali ikiwa bado promosheni inaendelea na magari mengi bado yanasubiri washindi ili wakabithiwe akiongea wakati wa halfa ya kukabidhi magari kwa wateja wa Airtel Mkoani...
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Magari yenye picha za rais yakamatwa
Magari sita yakiwemo mawili yaliokuwa na picha ya Uhuru yalikamatwa,licha ya rais kuruhusu wamiliki wa matatu kuchora picha.
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Magari 68 yenye majina binafsi yasajiliwa TRA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili magari yenye majina binafsi 68, ambayo yameipatia serikali sh milioni 340. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Yeremia Mbaghi, alisema hayo hivi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania