Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Agizo la kurejesha magari ya Toyota

Kampuni ya kutengeza magari ya Toyota nchini Japan, imeagiza kurejeshwa kwa magari milioni 1.9 aina ya Prius kutokana na hitilafu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Toyota yaregesha magari milioni 6

Toyota imeagiza magari milioni 6.5 kurejeshwa viwandani ilikufanyiwa ukarabati kutokana na upungufu mbalimbali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Toyota; Magari milioni 6.5 yanahitilafu

Kampuni ya kutengenza magari ya Toyota imetoa ilani ya kurejeshwa magari zaidi ya milioni sita u nusu kote duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu ya magari ya Toyota yana hitilafu

Kampuni kubwa zaidi ya kuunda magari, Toyota, imeagiza kurejeshwa kwa magari milioni moja nukta saba kote duniani kutokana na hitilafu ya breki za magari hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Toyota Dar nayo kurejeshewa magari

Wamiliki wa magari ya Toyota nchini wametakiwa kuhakiki magari yao na kuyarejesha kwa uchunguzi yale yatakayobainika kuwa na hitilafu za kiufundi katika mfumo wa baadhi ya vifaa vyake.

 

11 years ago

Mwananchi

Toyota yajipanga kupokea magari yenye hitilafu

>Kampuni ya Toyota Tanzania inatarajia kutoa tangazo ili kufafanua juu ya urejeshwaji magari yaliyobainika kuwa na kasoro za kiufundi.

 

10 years ago

Vijimambo

MAGARI AINA YA NISSAN MURANO NA TOYOTA LAV4 YANAUZWA


Gari zinauzwa kwa bei nzuri tu na zipo Dar kwa atakayeipenda tuwasiliane kupitia namba hizi 0713327106/0756673327

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yakabadhi wakaazi wawili wa Mkoa wa Manyara magari aina ya Toyota IST

Wakaazi wa wawili wa wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kwa pamoja wamezawadiwa magari yao aina ya Toyota IST mara baada ya kuibuka washindi katika droo za promosheni ya Airtel yatosha Zaidi inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel  Mpaka sasa jumla ya washindi 37 wameshapatikana kutoka katika mikoa mbalimbali ikiwa bado promosheni inaendelea na magari mengi bado yanasubiri washindi ili wakabithiwe akiongea wakati wa halfa ya kukabidhi magari kwa wateja wa Airtel Mkoani...

 

9 years ago

GPL

MAWAZIRI WAAGIZWA KUREJESHA IKULU MAGARI YA SERIKALI LEO

Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue. Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue, amewaagiza  Mawaziri na Naibu Mawaziri leo kurudisha magari ya serikali baada ya Rais Mteule, Dk. John Magufuli kuapishwa kwa kuwa ndiyo siku yao ya ukomo wa uongozi. Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Balozi Sefue alisema baada ya Bendera ya Rais kuteremshwa na kabla Bendera ya Rais mpya kupandishwa, magari ya mawaziri na Naibu Mawaziri,...

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani