MAWAZIRI WAAGIZWA KUREJESHA IKULU MAGARI YA SERIKALI LEO

Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue. Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue, amewaagiza Mawaziri na Naibu Mawaziri leo kurudisha magari ya serikali baada ya Rais Mteule, Dk. John Magufuli kuapishwa kwa kuwa ndiyo siku yao ya ukomo wa uongozi. Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Balozi Sefue alisema baada ya Bendera ya Rais kuteremshwa na kabla Bendera ya Rais mpya kupandishwa, magari ya mawaziri na Naibu Mawaziri,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Mawaziri wa JK watakiwa kurudisha magari Ikulu
11 years ago
Michuzi
DKT. SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI WAPYA IKULU ZANZIBAR LEO



10 years ago
Vijimambo.jpg)
RAIS KIWETE AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO IKULU
.jpg)
PICHA NA IKULU
5 years ago
Michuzi
SIKU ZA WEZI WA MAGARI ZAHESABIKA, WAAGIZWA KUJISALIMISHA

Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Kamanda...
11 years ago
Habarileo28 Mar
Hakuna benki, msipeleke magari, TPA waagizwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kusitisha kupeleka magari katika Bandari Kavu ya Hesu Investment Limited, jijini Dar es Salaam, kuanzia Jumatatu kama hakutakuwa na huduma za kibeki ndani ya eneo hilo au eneo la karibu.
10 years ago
GPL
RAIS KIWETE AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO IKULU
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Agizo la kurejesha magari ya Toyota
5 years ago
CCM Blog
RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

