Mawaziri wa JK watakiwa kurudisha magari Ikulu
Mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Nne wametakiwa kurejesha Ikulu magari wanayotumia mara baada ya kuapishwa Rais Mteule John Magufuli kwenye Uwanja wa Uhuru leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGQFINtdGw1Os4bJhJODE1edbr5P6K*awxF3dJ-mm549fv0JD1V4Ki3xicR6LDN6JlEJ5tzw2ul6uSMp02uFW8HQ/baloziSefue12.jpg?width=600)
MAWAZIRI WAAGIZWA KUREJESHA IKULU MAGARI YA SERIKALI LEO
9 years ago
StarTV02 Nov
Wananchi Kyela watakiwa kurudisha maelewano
Wakazi wa Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wametakiwa kuachana na uhasama wa kisiasa uliokuwepo wakati wa uchaguzi ili kuelekeza nguvu zao katika shughuli za maendeleo.
Wametakiwa kutambua kuwa uchaguzi ni suala la mpito lakini maendeleo, umoja na mshikamano wao ni mambo yanayoendelea kuwepo hivyo hawapaswi kuendeleza chuki za kisiasa zilizosababishwa na mchakato huo.
Wito huo wa kumaliza tofauti na sintofahamu za kimaelewano zilizokuwepo miongoni mwa wananchi wa Wilaya ya Kyela mkoani kutokana...
10 years ago
Mwananchi17 May
Pinda: Si Ikulu iliyowasafisha mawaziri
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Ikulu yavunja ukimya kuhusu 'mawaziri mizigo'
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Breaking News: Mawaziri waliobaki waapishwa Ikulu, Dar!
Rais Dkt. John Pombe Magufuli
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Dkt. John Pombe Magufuli leo amewaapisha mawaziri na naibu waziri, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli aliwateua mawaziri na naibu waziri hao Desemba 23 ili kukamilisha idadi kwenye Baraza la Mawaziri.
Walioapishwa leo ni
Prof. Jumanne Maghembe -Waziri wa Maliasili na Utalii. Dkt. Philip Mpango – Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge). Eng. Gerson Lwenge – Waziri wa Maji na Umwagiliaji. Dkt. Joyce...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtqGcwKbppqvVEim*fXwGQ9Abeh-MtkpQsPBxRRXsWDCACqV*m1BFqH7pdgoQjYQLfbyF3EoBgdipVXDtXbfQWwi/RAISKIKWETE.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AAPISHA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI IKULU DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vsoCC57q5M0/U_uGXYZft6I/AAAAAAAGCW4/0t_TJGATYms/s72-c/IMG_1932.jpg)
DKT. SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI WAPYA IKULU ZANZIBAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsoCC57q5M0/U_uGXYZft6I/AAAAAAAGCW4/0t_TJGATYms/s1600/IMG_1932.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4NvpemUM1ck/U_uGWJ5ZapI/AAAAAAAGCWw/xJdSvKDKFOo/s1600/IMG_1947.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qaHceRMmYnA/U_uGXW5JPOI/AAAAAAAGCW8/3W0BMvlfDlo/s1600/IMG_1958.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-Kd4dJ6GIpGQ/Ut1OZJPb-LI/AAAAAAAFHtU/qSNSGK5wovM/s1600/w1.jpg)
TASWIRA YA RAIS KIKWETE KUWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU JANA