Breaking News: Mawaziri waliobaki waapishwa Ikulu, Dar!
Rais Dkt. John Pombe Magufuli
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Dkt. John Pombe Magufuli leo amewaapisha mawaziri na naibu waziri, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli aliwateua mawaziri na naibu waziri hao Desemba 23 ili kukamilisha idadi kwenye Baraza la Mawaziri.
Walioapishwa leo ni
Prof. Jumanne Maghembe -Waziri wa Maliasili na Utalii. Dkt. Philip Mpango – Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge). Eng. Gerson Lwenge – Waziri wa Maji na Umwagiliaji. Dkt. Joyce...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Breaking News: Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki
Leo Dec 23 2015 Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake, na hawa ndio waliopata nafasi hiyo. #BREAKING Rais Magufuli amemteua Profesa Jumanne Maghembe kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii #MillardAYOUPDATES — millard […]
The post Breaking News: Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Breaking News: Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu, Ikulu – Dar
Rais John Pombe Magufuli asubuhi hii kwenye Ikulu jijini Dar es Salaam, anawaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wa wizara mbalimbali aliowateua juzi Desemba 30.
9 years ago
Habarileo10 Dec
BREAKING NEWS: Rais Magufuli atangaza baraza dogo la mawaziri
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli hivi punde ametangaza baraza lake la mawaziri, amesema wizara nyingi wameunganisha na atakuwa na wizara 18, na watakuwa na mawaziri 19 tu, na baadhi ya wizara zitakuwa na manaibu waziri huku zingine hazitakuwa na manaibu waziri.
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mawaziri 16 waapishwa Afghanistan
10 years ago
GPL24 Jan
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s72-c/45.jpg)
MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s640/45.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y7rYdZjT84E/VmwEh8Jt5GI/AAAAAAAAsKM/b3ViYHZ5E-0/s640/47.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DPnS5gUIpCw/VmwEh7xwiuI/AAAAAAAAsKQ/x9ruphoVuk0/s640/49.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nA-xAF2ydCY/VmwEkwSTjAI/AAAAAAAAsKc/CK8SAfPP7hg/s640/50.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtqGcwKbppqvVEim*fXwGQ9Abeh-MtkpQsPBxRRXsWDCACqV*m1BFqH7pdgoQjYQLfbyF3EoBgdipVXDtXbfQWwi/RAISKIKWETE.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AAPISHA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI IKULU DAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Gnohzi9t71s/Xkv3xggIPHI/AAAAAAACy6g/I9zDCTA4pgU6LgRl4dUyKzF1mYojY8O-QCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-4-1024x555.jpg)
RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gnohzi9t71s/Xkv3xggIPHI/AAAAAAACy6g/I9zDCTA4pgU6LgRl4dUyKzF1mYojY8O-QCLcBGAsYHQ/s1600/1AA-4-1024x555.jpg)