Breaking News: Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki
Leo Dec 23 2015 Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake, na hawa ndio waliopata nafasi hiyo. #BREAKING Rais Magufuli amemteua Profesa Jumanne Maghembe kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii #MillardAYOUPDATES — millard […]
The post Breaking News: Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio)
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Wote wametajwa hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Breaking News: Mawaziri waliobaki waapishwa Ikulu, Dar!
Rais Dkt. John Pombe Magufuli
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Dkt. John Pombe Magufuli leo amewaapisha mawaziri na naibu waziri, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli aliwateua mawaziri na naibu waziri hao Desemba 23 ili kukamilisha idadi kwenye Baraza la Mawaziri.
Walioapishwa leo ni
Prof. Jumanne Maghembe -Waziri wa Maliasili na Utalii. Dkt. Philip Mpango – Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge). Eng. Gerson Lwenge – Waziri wa Maji na Umwagiliaji. Dkt. Joyce...
9 years ago
Habarileo10 Dec
BREAKING NEWS: Rais Magufuli atangaza baraza dogo la mawaziri
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli hivi punde ametangaza baraza lake la mawaziri, amesema wizara nyingi wameunganisha na atakuwa na wizara 18, na watakuwa na mawaziri 19 tu, na baadhi ya wizara zitakuwa na manaibu waziri huku zingine hazitakuwa na manaibu waziri.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Iv7Ipr4gPFI/VmlbyJly9UI/AAAAAAAILao/Z5LLG1nj9Ps/s72-c/jbb1.jpg)
BREAKING NYUZZZZ...: RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Iv7Ipr4gPFI/VmlbyJly9UI/AAAAAAAILao/Z5LLG1nj9Ps/s640/jbb1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tyAe1y0j3gM/VmlbyQFhHVI/AAAAAAAILas/CyiyTRc9i6o/s640/jbb2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKINGNEWS31.gif)
BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS
9 years ago
Habarileo29 Oct
BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano
MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.
9 years ago
Habarileo16 Nov
BREAKING NEWS: Rais Magufuli amteua Dk Tulia Mwansasu kuwa mbunge
RAIS wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amemteua Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Tulia Ackson Mwansasu kuwa mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Breaking News: Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu, Ikulu – Dar
Rais John Pombe Magufuli asubuhi hii kwenye Ikulu jijini Dar es Salaam, anawaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wa wizara mbalimbali aliowateua juzi Desemba 30.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s72-c/Magufuli-1.jpg)
BREAKING NEWS: NEC YAMTANGAZA DK. JOHN POMBE MAGUFULI KUWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s640/Magufuli-1.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Jaji Damian Lubuva amtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa kiti cha urais baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote na kumshinda mpinzania wake mkuu Ndugu Edwarld Lowasa aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya Chadema kupitia muungano wa vyama vinne vya upinzani UKAWA, Dk John Pombe Magufuli ameshinda kwa kura 8.882.935 sawa na asilimia 58.46 huku Edwarld Lowasa akipata kura 6.072.848...