Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri 16 waapishwa Afghanistan

Baada ya miezi kadha ya mizozo ya kisiasa, rais wa Afghanistan Ashraf Ghani amewaapisha mawaziri 16 wapya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

9 years ago

CCM Blog

MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Dk. Hussein Mwinyi kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ,Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Wiliam Lukuvi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Waziri wa Sheria na Katiba.
  Rais wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Breaking News: Mawaziri waliobaki waapishwa Ikulu, Dar!

BREAKINGNEWS3Magufuli3 (1)Rais Dkt. John Pombe Magufuli

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Dkt. John Pombe Magufuli leo amewaapisha mawaziri na naibu waziri, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli aliwateua mawaziri na naibu waziri hao Desemba 23 ili kukamilisha idadi kwenye Baraza la Mawaziri.

Walioapishwa leo ni

Prof. Jumanne Maghembe -Waziri wa Maliasili na Utalii. Dkt. Philip Mpango – Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge). Eng. Gerson Lwenge – Waziri wa Maji na Umwagiliaji. Dkt. Joyce...

 

10 years ago

Habarileo

Wenyeviti 73 wa mitaa waapishwa

HALMASHAURI ya Mji Kibaha imeapisha wenyeviti wa mitaa 73 na wajumbe 365, ikiwa ni ishara ya viongozi hao kuanza kazi rasmi.

 

11 years ago

Habarileo

Makatibu Bunge Maalumu waapishwa

YAHYA Hamis Hamad kutoka Zanzibar ndiye Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba. Katibu huyo jana aliapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo huku akiahidi kufanya kazi yake kwa weledi mkubwa na kwa kufuata kanuni za Bunge hilo.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMISHNA WA POLISI WAPYA WAAPISHWA

Kamishna wa Polisi Elice Mapunda akila kiapo mbele ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu baada ya kupandishwa cheo na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Naibu Kamishna wa Polisi kuwa Kamishna wa Polisi. Katikati ni Msemaji wa Jeshi hilo Mrakibu Mwandamizi wa Polisi Advera Bulimba. Hafla hiyo fupi ilifanyinyika jana Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam. Kamishna wa Polisi Diwani Athumani akila kiapo mbele ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest...

 

9 years ago

Habarileo

Makatibu wakuu wateule waapishwa

RAIS Jakaya Kikwete jana amewaapisha makatibu wakuu wanne na naibu katibu wakuu watano pamoja na makatibu tawala wa mikoa, baada ya kufanya uteuzi wao juzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani