Magari yenye picha za rais yakamatwa
Magari sita yakiwemo mawili yaliokuwa na picha ya Uhuru yalikamatwa,licha ya rais kuruhusu wamiliki wa matatu kuchora picha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Jan
MAGARI YALIYOCHORWA PICHA YA RAIS YA YAKAMATWA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/08/150108153142_matatu_uhuru_640x360_bbc.jpg)
Licha ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kuruhusu magari yanayobeba abiria nchini Kenya kuchorwa ama hata kupaka rangi yoyote ile,mabasi mawili yaliochorwa picha yake yamekamatwa na maafisa wa polisi mjini Mombasa Kenya.
Maafisa wa trafiki mjini Mombasa waliyakagua magari hayo na kuyakamata magari yote yaliokuwa yamechorwa picha pamoja na magari yenye madirisha yasioonyesha ndani.
Magari sita yakiwemo mawili yaliokuwa na picha ya...
10 years ago
Bongo506 Jan
Picha: Mayweather aringishia magari yenye thamani tshs bilioni 13 na private jet
Floyd Mayweather hakujipa jina la utani ‘Money’ kwa kubahatisha. Bondia huyo ambaye kwa mujibu wa Forbes ndiye mwanamichezo aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka jana duniani, amepost picha Instagram akiwa amesimama mbele ya magari yake ya kifahari ambayo kwa pamoja yana thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 13.1 na ndege yake binafsi. “Welcome to my toy […]
11 years ago
Michuzi02 Apr
MAJANGILI 6 YAKAMATWA NA MENO YA TEMBO 53 YENYE JUMLA YA KILO 169.7
![DSCF3201](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/D1aq1CseUyPhb2Z1ckeYtMhkZ85CuNUcBeNdGqzYofwmz1qHeWg7BWBfFtm5nzN4pYXWoxkTU-0eMlHDLg56dNEp0tqC1xweG4xfZjfuea2NNEd65Tuy2YCfc0oUgg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3201.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3202](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ISVbu0NfmXCfwyOur6j7zDzCkn3MNgqVNQfTz1tR3tsXcfUBS09v02L0mFz-ecSQDv4NpljhXzgRjVVLoyHVn9Y97fsVj9mP3rwju5W0u9amb7mub8yzdLG-DGwW7A=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3202.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3199](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/bQLbMLhkmJh50UxhGM33Ddvv8rDlGBoVUuBGgmkGJW6ruxoEtNUdxv0t2__tY8dGDdAZZzCsfykHfF_6BT7dIXzw0p0w797ckgbDQrF4JhoO6MQzdrwpFyTHdKBuQg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3199.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3198](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/vDsKm6qQ1EHSDXa-JeXR80P6-Qb5XNF1aJ3Y_X4uMOxySeV4wlokbGwx_0h2gYN1RlNKQDGa-KEjqgIKfGOXTjwePBYt3vcpCHbDlq3VzNjJu5e_xV7PxEYqh5fULQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3198.jpg?w=627&h=470)
Na Pamela Mollel,Arusha Wizara ya maliasili na utalii imetangaza kukamatwa kwa meno 53 ya tembo yenye jumla ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magari-2.jpg)
MAGARI YALIYOIBIWA LONDON YAKAMATWA UGANDA
Njia ambayo magari hayo ya wizi yalisafirishwa toka London, Uingereza hadi Kampala, Uganda. Gari aina ya Audi TT iliyosajiriwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Lexus lilokuwa limeibiwa Londoni na kupelekwa Kampala, Uganda.…
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SmMY1ZsN6M0/ViaCK2AQwKI/AAAAAAAIBRY/rwV0gvwpUp8/s72-c/IMGL1310.jpg)
PICHA ZINGINE ZA RAIS KIKWETE ALIVYOKABIDHI MAGARI POLISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-SmMY1ZsN6M0/ViaCK2AQwKI/AAAAAAAIBRY/rwV0gvwpUp8/s640/IMGL1310.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JF_8uFTql4E/ViaB_AVz_yI/AAAAAAAIBRI/BGr1QpI4FLU/s640/IMGL1315.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmpv8q08kT0/ViaB-1Hl1RI/AAAAAAAIBRM/qNNnBdKoGxM/s640/IMGL1316.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Magari 68 yenye majina binafsi yasajiliwa TRA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili magari yenye majina binafsi 68, ambayo yameipatia serikali sh milioni 340. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Yeremia Mbaghi, alisema hayo hivi...
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Toyota yajipanga kupokea magari yenye hitilafu
>Kampuni ya Toyota Tanzania inatarajia kutoa tangazo ili kufafanua juu ya urejeshwaji magari yaliyobainika kuwa na kasoro za kiufundi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6vGV49bZLlU/XnJDCQoueyI/AAAAAAALkRM/goTTODmA4cwkgFSc9dz1_JuXbDwpxgiCQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.24.56%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
Charles James, Globu ya Jamii
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania