Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiungo Esperance atoa siri

Kiungo wa zamani wa Esperance ya Tunisia, Jackson Mayanja amesema njia pekee ya Yanga kuifunga Etoile du Sahel ni kucheza kwa nidhamu na kushambulia mwanzo mwisho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kiungo Toto Africans atoa somo

KIUNGO mchezeshaji wa Toto Africans ya Mwanza, Abdallah Seseme, amesema timu hiyo ina uwezo wa kufanya vizuri kwenye ligi ya msimu huu endapo wachezaji wenzake watajitambua.

 

11 years ago

GPL

BINTI MIAKA 16 ATOA SIRI ZA FREEMASON

Na Waandishi Wetu NI lipi hujasikia? Linaweza kuwa hili! Binti mmoja aliyetambulishwa kwa jina la  Fauzia (jina la mbele lipo), mwenye umri wa miaka 16, mkazi wa Kigogo jijini Dar amedai kutumikia nafasi ya umalkia katika imani yenye utata duniani ya Freemason, Uwazi linakudondoshea. Binti Fauzia akiwa amepozi nyumbani kwao maeneo ya Kigogo jijini Dar es Salaam. Binti huyo alikwenda mbele zaidi kwa kudai kwamba ili kujiunga...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkwasa atoa siri nzito Yanga

Ofisa Mtaalam wa Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Boniface Mkwasa.
Ofisa Mtaalam wa Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Mkwasa amesema ana mkataba wa kuinoa Yanga aliopewa na uongozi wa Wanajangwani kabla ya kuchezwa kwa mechi ya 'Nani Mtani Jembe 2'.

Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi, Yanga ilipokea kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Simba, matokeo ambayo yamewafukuzisha kazi aliyekuwa Kocha Mkuu, Mbrazil Márcio...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha atoa siri za Mbeya City

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi ametaja siri tatu za kikosi chake kuwa tishio kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Timu hiyo iliyopanda kwenye msimu huu wamefungwa mechi moja pekee na Yanga wakichapwa 1-0.

 

10 years ago

GPL

Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga

Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Ibrahim Mussa
AMEMWAGA mboga! Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, ameibuka na kusema kuwa kitendo alichokifanya mshambuliaji Emmanuel Okwi cha kutimkia Simba ni sahihi kwani viongozi wa Yanga hawakuwa wakimjali kipindi anachezea timu yao. Pluijm ambaye alifanya kazi na Mganda huyo katika kikosi cha timu hiyo msimu uliopita kabla ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mainaki Atoa Siri za Mademu Bongo Movie

Staa wa Bongo movie aliyejizolea umaarufu kwa kunadiwa kuwa na mahusiano na baadhi ya wasanii nyota katika tasnia ya filamu, Manaiki Sanga ametoa ya mwaka pale aliposema kuwa kabla ya kuwa karibu na wasanii hao alikuwa akiamini ni vigumu kuwa na mahusiano na wasanii lakini hali ni kinyume.

Msanii huyo anasema kuwa watu wengi wanaamini kuwa wasanii wa kike ni watu aghari na si rahisi kuwa na mahusiano na wanaume wasio na fedha kumbe ni tofauti na matarajio ya wengi na hauwezi kulibaini hilo...

 

10 years ago

Habarileo

Shein atoa siri kudumu serikali ya kitaifa

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema uvumilivu wa kisiasa na kuheshimu Katiba na sheria ndio siri ya mafanikio ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyo chini ya mfumo wa Umoja wa Kitaifa.

 

10 years ago

GPL

FLORA ATOA USHAHIDI KESI YA MBASHA KWA SIRI

Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, akiwa na mume wake, Emmanuel Mbasha. KESI ya kudaiwa kumbaka shemeji yake inayomkabili mfanyabiashara na mwimba Injili Bongo, Emmanuel Mbasha imeendelea kuunguruma leo katika Mahakama ya Ilala jijini Dar ambapo mkewe Flora alifika na kutoa ushahidi kwa siri. Kesi hiyo ilianza kuunguruma kwenye ofisi ya hakimu (Chamber), mishale ya saa 5 hadi saa 8 mchana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama...

 

11 years ago

BBC

Last chance for Esperance

Esperance of Tunisia must beat hosts Entente Setif of Algeria to avoid crashing out of this year's Champions League.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani