Mkwasa atoa siri nzito Yanga
Ofisa Mtaalam wa Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Boniface Mkwasa.
Ofisa Mtaalam wa Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Mkwasa amesema ana mkataba wa kuinoa Yanga aliopewa na uongozi wa Wanajangwani kabla ya kuchezwa kwa mechi ya 'Nani Mtani Jembe 2'.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi, Yanga ilipokea kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Simba, matokeo ambayo yamewafukuzisha kazi aliyekuwa Kocha Mkuu, Mbrazil Márcio...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*C1ULBW*XdrfP-wCXKwU8kE0PTCLgEfOtnGG7zoBjJ8eCuGmo3FDNARYIkVjSwFbm8pAMOGThwF-JekAnIX1G-M/pluijm.jpg)
Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
JK siri nzito
RAIS Jakaya Kikwete ana siri nzito moyoni ya kile anachotaka kuwaambia Watanzania wakati atakapolihutubia Bunge Maalumu la Katiba leo mjini Dodoma. Hotuba hiyo inayoashiria uzinduzi rasmi wa Bunge hilo la...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Siri nzito
SIKU moja baada ya marais wawili wa Tanzania kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa, viongozi wa dini za Kikristo na Kiislam wamehitimisha kikao chao wakiwa na siri nzito kuhusu mustakabali wa taifa. Baadhi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWjVveS5cS4kFOotDNWCx8l8wEx5KJWDoF**0I-ncraAOv0RY1DZ23N2WibH4Q5DAm*c*M2U5nk1dN8LAWJh6rf/mastaa.jpg?width=650)
SIRI NZITO ZAFICHUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL9HzGeLIYvahjVhiA0B2jJfaIysv5A-geLRIGQiTWK3eYJp7HR0Zvk9niAjDB00rp9BzGiAX-hlGqcSsJu9LNIi/FRONT.jpg)
DIAMOND, JK SIRI NZITO!
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Ugaidi Tanga Siri nzito
OSCAR ASSENGA, TANGA
WAKATI nchi ikiwa bado kwenye taharuki ya mashambulio yanayodaiwa kufanana na ya kigaidi yaliyotokea katika Kijiji cha Mleni nje kidogo ya Jiji la Tanga, kumezuka madai mapya yanayowashutumu viongozi wa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kutoa uamuzi wa haraka kudhibiti wahalifu hao.
Uzembe huo unadaiwa kufanywa na uongozi wa polisi makao makuu Dar es Salaam pamoja na Tanga na hivyo kutoa fursa kwa wahalifu kufanya mashambulio na baadaye kutoroka.
Chanzo cha kuaminika kutoka...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Siri nzito bidhaa za machinga
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Siri nzito CCM 2015