Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK siri nzito

RAIS Jakaya Kikwete ana siri nzito moyoni ya kile anachotaka kuwaambia Watanzania wakati atakapolihutubia Bunge Maalumu la Katiba leo mjini Dodoma. Hotuba hiyo inayoashiria uzinduzi rasmi wa Bunge hilo la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Siri nzito

SIKU moja baada ya marais wawili wa Tanzania kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa, viongozi wa dini za Kikristo na Kiislam wamehitimisha kikao chao wakiwa na siri nzito kuhusu mustakabali wa taifa. Baadhi...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, JK SIRI NZITO!

Na Musa Mateja/Amani
NYUMA ya ukaribu wa Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, kuna siri nzito kufuatia mambo mbalimbali yanayojitokeza kati yao kila kukicha, Amani lina cha kukujuza. Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano...

 

9 years ago

GPL

SIRI NZITO ZAFICHUKA!

Stori: Na Erick Evarist NYUMA ya wimbi kubwa la mastaa waliokuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna siri nzito zilizojificha na Amani limechimbua kutoka kwa wahusika. Mastaa wakiwa kwenye vazi lakijani. Hivi karibuni, mastaa mbalimbali akiwemo mwigizaji Aunt Ezekiel na Vincent Kigosi ‘Ray’ waliokuwa wakishabikia Chadema kinachoungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba...

 

10 years ago

Mtanzania

Ugaidi Tanga Siri nzito

OSCAR ASSENGA, TANGA
WAKATI nchi ikiwa bado kwenye taharuki ya mashambulio yanayodaiwa kufanana na ya kigaidi yaliyotokea katika Kijiji cha Mleni nje kidogo ya Jiji la Tanga, kumezuka madai mapya yanayowashutumu viongozi wa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kutoa uamuzi wa haraka kudhibiti wahalifu hao.
Uzembe huo unadaiwa kufanywa na uongozi wa polisi makao makuu Dar es Salaam pamoja na Tanga na hivyo kutoa fursa kwa wahalifu kufanya mashambulio na baadaye kutoroka.
Chanzo cha kuaminika kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Siri nzito bidhaa za machinga

Katika eneo la mnada wa kuuza vitu vya machinga vilivyokamatwa lililopo katika Soko la Kibasila Gerezani, kulikuwa na makundi ya watu wa aina mbili

 

10 years ago

Mwananchi

Siri nzito CCM 2015

Vikao vya Kamati Kuu ya CCM na Kamati Maalumu ya NEC Zanzibar vinaonekana kuwa huenda vikaiweka hadharani siri nzito za urais wa Jamhuri ya Muungano.

 

10 years ago

Vijimambo

SIRI NZITO ZAFICHUKA TRAFIKI WA MAHABA


Na Ojuku AbrahamBAADA ya kuvuja kwa picha katika mitandao ya kijamii wiki iliyopita, iliyowaonesha askari wawili wa usalama barabarani wakiwa ‘kimahaba niue’ ndani ya sare za kazi na kusababisha kupoteza ajira zao kutokana na kukiuka maadili, siri zaidi nzito zimezidi kuvuja kuhusiana na ishu hiyo na Amani limemuibua afande wa kike baada ya kumsaka sana.Askari aliyefukuzwa kazi kutokana na kosa la ukiukaji wa maadili, Veronica Mdeme.
Kwa mujibu wa vyanzo makini kutoka wilayani Misenyi mkoani...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Mbilinyi afichua siri nzito

Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi amefichua siri na kueleza kwamba wakati alipochaguliwa kuiongoza wizara hiyo nchi ilikuwa imefilisika.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa ajiandaa kutoa siri nzito

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana hakuhudhuria mkutano wa kampeni za ubunge mjini Arusha kwa maelezo kuwa anajiandaa kutoa tamko kuhusu hali ya kisiasa visiwani Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani