Yanga kumlea kiungo wa Rayon
- JONES Na Grace Mkojera KLABU ya Yanga imesema kiungo wa Rayon Sports Jerome Sina ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha timu hiyo kujinoa kwa mazoezi wakiendelea kutazama kiwango chake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen23 Jul
Yanga, Rayon in Cecafa opener
 Mainland giants Young Africans will launch their 2014 Cecafa Kagame Cup campaign against hosts Rayon Sport on August 8 at the Amahoro Stadium in Kigali, Rwanda.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Yanga kuanza na Rayon Kagame
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), jana lilitoa ratiba ya Kombe la Klabu Bingwa maarufu kama Kagame Cup, huku Yanga ikipangwa kufungua dimba na Rayon Sports...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMq0cPseOfPvVC5zMNI1vxETx*5FksPveytZ2qX5Hkcy6bZZeZI06qoeW6*rxBV8A5DLtsl8wfMGDqS*gN0EJvH3/yanga.gif?width=650)
Yanga yasajiliwa kiungo
Na Sweetbert Lukonge
KLABU ya soka ya Yanga jana iliwapa mikataba mipya wachezaji wake watatu, kiungo Omega Seme na mabeki Oscar Joshua na Juma Abdul. Yanga imeanza kucharuka na kuwapa wachezaji wake mikataba mipya baada ya Didier Kavumbagu na Frank Domayo kutimkia Azam FC hivi karibuni. Ni sawa na kusema kuwa Omega ndiye mchezaji mpya kwenye lisiti hiyo kwa kuwa msimu uliopita hakuwa na kikosi hicho baada ya kupelekwa Prisons...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIn7jqG4WEY9*ym7V-JbXVosJf1oHaV0q65ragfzZCO5TTpdCMbgCjnvhwV84hV2qSlsj3Iplo3eZ95rPo8KxR8k/yanga.jpg?width=650)
Yanga yasajili kiungo usiku
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KLABU ya Yanga, jana usiku ilitarajiwa kumsainisha kiungo wa Taifa Stars, Said Juma.
Inadaiwa kuwa, aliyekuwa kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ndiye aliyetoa mapendekezo ya kusajiliwa kwa kiungo huyo. Jana usiku, Yanga ilitarajiwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili lakini kama ingeshindikana jana, basi anaweza akasajiliwa ndani ya siku mbili...
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Saa 48 za hatari kwa kiungo Yanga SC
Kiungo mpya wa Yanga, Lansana Kamara kutoka Sierra Leone ana saa 48 ngumu, hatari kwake kuishi nchini akisubiri majaliwa yake kwenye klabu hiyo ya mitaa ya Twiga na Jangwani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/T*Jd5VJ-te1jPfCpsfIYQ3CWz8dpN1aoDCtAnhP0NHaN4i0hxKYd6fU*Ewp0jmt0Lu2g91U3nmHHb0Ku3X-YEJVkYdl35yi8/kiungo.gif?width=650)
Kiungo Yanga apoteza fahamu uwanjani
Kiungo mkabaji wa Yanga, Said Juma Makapu akitolewa uwanjani baada ya kuanguka na kupoteza fahamu.
Nassor Gallu,Tanga
FURAHA ya wachezaji wa Yanga juu ya ushindi wao dhidi ya Mgambo JKT ilizimika ghafla baada ya kiungo mkabaji wa timu hiyo, Said Juma Makapu kuanguka na ‘kuzimia’ akiwa uwanjani.Katika mchezo huo ambao Yanga walipata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe na Simon Msuva, kiungo huyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NagjRItG3EFv5MTHiJTQhxIVklTv1LsHYf-snXHiGvSufJ8*kkQgCMxUydzPxP0FhDIN6FekJq1BNVelU81h7M20/ttt.jpg?width=650)
Kiungo mpya awafunika mastaa wote Yanga
Kiungo mpya wa Yanga, Geofrey Mwashiuya. Wilbert Molandi, Dar es Salaam
KIUNGO mpya wa Yanga, Geofrey Mwashiuya, hadi hivi sasa ndiye mchezaji aliyeng’ara kwenye mazoezi ya timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Mwashiuya alisajiliwa na Yanga kwenye usajili wa dirisha dogo la msimu uliopita, lakini alishindwa kuonekana uwanjani kuonyesha makali yake kutokana na timu yake ya Kimondo kudai bado ina...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s72-c/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera amwaga wino Yanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s1600/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera Neves Roque pichani kushoto akisaini mkataba leo jijini Dar,wa kutumikia Klabu ya Young Africans,Kulia ni Afisa Habari wa klabu hiyo Baraka Kizuguto.
Dar es Salaam. Wakati Yanga ikimpa mkataba wa mwaka mmoja kiungo Emerson De Oliveira, watani zao Simba wamemtema rasmi mshambuliaji Paul Kiongera.
Emerson amesaini mkataba huo baada ya benchi la ufundi chini ya Mbrazil Marcio Maximo kuridhika na kiwango chake na sasa ataitumikia timu hiyo ya Jangwani.
Emerson...
11 years ago
TheCitizen08 Aug
Azam FC target Rayon SC scalp
Six teams are in action at different venues today as this year’s Cecafa Kagame Cup tournament roars into in Rwanda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania