YEMI ALADE KUTUA BONGO LEO
![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jz4KtURbOintm28U4wn7srljN9BrIwrGyiRAOnBb4rcbAXSyFGWCO3j12mUcxXLVg9uSLJQitLhMedvcuCBkmyb/yemi.jpg)
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Mkali wa ngoma ya Johnny, Yemi Alade, hatimaye anatarajiwa kutua Bongo saa tano usiku, leo Jumanne, Agosti 5, 2014 tayari kwa kukinukisha kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini ambalo limebakiza siku chache kabla ya kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014. Mkali wa ngoma ya Johnny kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade. Akipiga stori na Showbiz, mratibu wa tamasha hilo,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jw6YH9axGC1hS0PYJsyxfJKftrDRKwe07vjqOtNUZBUAJNVOQ3a3FElO-x24VyrKPGGOCUqew-xHBG0dDiuah1D/YemiAlade2.jpg)
YEMI ALADE KUTUA NCHINI KESHO JUMATANO
9 years ago
Bongo516 Nov
Layla (Voice Fairy) – Msanii chipukizi wa Bongo aliyeshinda shindano la Yemi Alade na kuwa staa kwa kuimba cover za wasanii
![11253897_955031214568617_1983885996_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11253897_955031214568617_1983885996_n-300x194.jpg)
Kwa wapenzi wa mtandao wa Instagram, jina na sura ya Layla aka The Voice Fairy sio vigeni.
Muimbaji huyo wa Mwanza anayeishia Dar es Salaam kimasomo amejipatia umaarufu kwenye ulimwengu wa Instagram kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine (cover) kabla hata ya kurekodi wimbo wake ‘Hoi Hoi’ uliotoka wiki iliyopita.
“Napenda sana kuimba nyimbo za watu napost kwenye Instagram yangu,” Layla alikiambia kipindi cha The Bridge cha Radio Free Africa, Jumapili, Nov 15.
“So hiyo ilinijengea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpMADMyan2JpknwvBsVF*msMZNxBNv4ovwOs5cwvuXfa6HdvIOhe9NJZAXK4rsQZBb8CAurqY4Vf8dSxxxNGKZ3z/southernsun.jpg?width=650)
11 years ago
GPL05 Aug
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Yemi Alade — Sugar
11 years ago
GPL06 Aug
9 years ago
Bongo510 Dec
Music: Yemi Alade Ft. DJ Arafat – Do As I Do
![yemi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/yemi-300x194.jpg)
Mwanamuziki kutoka Nigeria, Yemi Alade amerudi na single mpya kutoka kwenye album yake,”Mama Africa” mpya inayotegemea kuwa mtaani hivi karibuni. Wimbo unaitwa “Do As I Do” wimbo huu amemshirikisha staa kutoka Ivory Coast , DJ Arafat. Mtayarishaji wa wimbo huu ni Selebobo (on the beat).
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Muonekano mpya wa Yemi Alade
STAA wa muziki nchini Nigeria, Yemi Alade ameachia picha zake mpya zinazoonyesha muonekano wake wa sasa.
Picha hizo zimepigwa na mpiga picha Kelechi Amadi-Obi.
10 years ago
GPL22 May