Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Goran kumrithi Phiri Simba

Siku za Patrick Phiri kwenye klabu ya Simba zimeanza kuhesabika baada ya viongozi kuanza mazungumzo na kocha Mserbia, Goran Kopunovic.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Sita wataka kumrithi Goran Simba

Goran-KopunovicNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WAKATI Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic akiendelea kung’ang’ania kuongezewa dau na uongozi wa klabu hiyo, tayari makocha sita wametuma maombi ya kuchukua nafasi yake endapo klabu hiyo itashindwa kufikia dau lake.
Goran bado ameendelea na msimamo wake akitaka kulipwa mshahara wa Sh milioni 28, ambapo uongozi wa Simba umedai kuwa kiasi hicho ni kikubwa na kumtaka hadi kesho awe ametoa jibu kama ataweza kukipunguza.
Habari za uhakika ilizozipata MTANZANIA,...

 

10 years ago

Michuzi

WAGANDA WAMPONZA PHIRI, GORAN KUTUA LEO!!

Wachezaji wa Simba raia wa Kiganda ndio wamemponza kocha Mzambia Patrick Phiri kufungashiwa virago ndani ya klabu hiyo ya Msimbazi huku Mserbia Goran Kopunovic akitarajiwa kutua rasmi kesho Jumatano.
Habari za uhakika kutoka Simba zinasema kuwa uongozi wa klabu hiyo chini ya mwenyekiti wake Evans Aveva uliketi juzi usiku majira ya saa mbili na kikao kumalizika saa saba usiku kwa maazimio ya kumfukuza Phiri na jana jioni alikabidhiwa rasmi barua yake ya kuachishwa kazi na nafasi yake...

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr amrithi Goran Simba

Rais wa Simba, Evans Aveva alitumia dakika 17 kutangaza mabadiliko ya benchi la ufundi la timu hiyo litakalokuwa chini ya kocha Muingereza Dylan Kerr (pichani).

 

10 years ago

Mwananchi

MASLAHI: Goran aishangaa Simba kumtosa

>Kocha Goran Kopunovic amesema kiasi cha dola 20,000 pekee ndiyo kimemyima ajira ya kuendelea kuifundisha Simba kwa ajili ya msimu ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Dau la Goran laitoa jasho Simba

Dar es Salaam.Baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, kocha Goran Kopunovic ameutaka uongozi kumpa mkataba mpya utakaomwezesha kulipwa Dola 7,500 (Sh 14.6 milioni ) kwa mwezi.

 

10 years ago

Mwananchi

Goran: Saa 456 za Simba kutwaa ubingwa

Kocha wa Simba, Goran Kuponovic amesema bado kuna saa456 za timu yake kupigana na kuhakikisha anachukua ubingwa wa LigiKuu Tanzania Bara msimu huu.

 

10 years ago

Michuzi

GORAN AMWAGA WINO KWA MWAKA MMOJA KUINOA SIMBA

KOCHA mpya wa Simba raia wa Serbua Goran Kopunovic amemwaga wino wa mwaka mmoja kuinoa timu hiyo ya Msimbazi.
Mmoja wa viongozi wa Simba aliiambia blog ya jamii kuwa kocha huyo aliyewasili leo asubuhi na kufikia kwenye hotel ya Double Tree Masaki ataondoka kesho kwenda Zanzibar kujiunga na timu hiyo ya wekundu wa Msimbazi inayoshiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Naye Kopunovic akizungumza muda mfupi baada ya kukanyaga hardhi ya Tanzania alisema "Nimekuja kufanya kazi, naamini nitapata...

 

10 years ago

TheCitizen

Simba’s Phiri given ultimatum

Pressure is mounting on Zambian technician Patrick Phiri in Dar es Salaam’s Simba Sports Club as the side’s leadership gave him the ultimatum of winning the next two matches in the on going Tanzania Mainland Premier League, failure of which his contract could be terminated.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri ajivunia chipukizi Simba

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri, amesema anajivunia kuwa na kikosi bora na imara chenye wachezaji chipukizi ambacho kinajiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.

Katika msimu huu wa ligi, Simba imesajili wachezaji wengi chipukizi na kuwaondoa wakongwe baada ya timu hiyo kupata matokeo mabaya katika msimu uliopita na kumaliza ikiwa katika nafasi ya nne.

Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani