Sita wataka kumrithi Goran Simba
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WAKATI Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic akiendelea kung’ang’ania kuongezewa dau na uongozi wa klabu hiyo, tayari makocha sita wametuma maombi ya kuchukua nafasi yake endapo klabu hiyo itashindwa kufikia dau lake.
Goran bado ameendelea na msimamo wake akitaka kulipwa mshahara wa Sh milioni 28, ambapo uongozi wa Simba umedai kuwa kiasi hicho ni kikubwa na kumtaka hadi kesho awe ametoa jibu kama ataweza kukipunguza.
Habari za uhakika ilizozipata MTANZANIA,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Goran kumrithi Phiri Simba
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Kerr amrithi Goran Simba
10 years ago
Mwananchi14 May
Dau la Goran laitoa jasho Simba
10 years ago
Mwananchi18 May
MASLAHI: Goran aishangaa Simba kumtosa
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Goran: Saa 456 za Simba kutwaa ubingwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RJJr8Zgmh9g/VKQCd2NFAOI/AAAAAAAG6y0/r0f6kuhD-TI/s72-c/1331248128Goran-Kopunovic.jpg)
GORAN AMWAGA WINO KWA MWAKA MMOJA KUINOA SIMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RJJr8Zgmh9g/VKQCd2NFAOI/AAAAAAAG6y0/r0f6kuhD-TI/s1600/1331248128Goran-Kopunovic.jpg)
Mmoja wa viongozi wa Simba aliiambia blog ya jamii kuwa kocha huyo aliyewasili leo asubuhi na kufikia kwenye hotel ya Double Tree Masaki ataondoka kesho kwenda Zanzibar kujiunga na timu hiyo ya wekundu wa Msimbazi inayoshiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Naye Kopunovic akizungumza muda mfupi baada ya kukanyaga hardhi ya Tanzania alisema "Nimekuja kufanya kazi, naamini nitapata...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s3yECVD-Xt5VFSNWpdBwxUGjB6smycBLdPX-qVusr5tZMSSQRuTg*jruZTEyB0AB77TM-4O5DdRcwyOsgShp*ZwncdiIrORU/OKWI.jpg?width=650)
Okwi: Simba SC imenipa magari sita
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQiDGiE4JFO1KdKDhXuiVgGBbK-wVVsZyd6fMUR0jN-YYXR5XfHquE9sUHOOZexvVoYD5RJl4pfCSORLFNH*rja3/mzungu.jpg?width=650)
Mzungu rasmi atema sita Simba
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oAFU9LiZXX4/VKP7fFpNEmI/AAAAAAAG6xo/3J083337KQk/s72-c/11111.jpg)
MASTAA SIMBA WATAKA PESA, SI MALI KAULI
MASTAA nane wa klabu ya Msimbazi wamekacha timu hiyo iliyoandoka leo kwenda Zanzibar kwa kile wanachoshinikiza kulipwa fedha zao. Habari za kuaminika zinasema kuwa mastaa nane wa klabu hiyo wameingia mitini wakiwemo waganda watano na wabongo watatu mpaka hapo watakapomaliziwa fedha zao za usajili.
Wabongo waliokacha timu hiyo ni Shaban Kisiga, Jonas Mkude na Ivo Mapunda hata hivyo kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola jana alikiri kutokuwepo kwenye kikosi chake ...