Mzungu rasmi atema sita Simba
![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQiDGiE4JFO1KdKDhXuiVgGBbK-wVVsZyd6fMUR0jN-YYXR5XfHquE9sUHOOZexvVoYD5RJl4pfCSORLFNH*rja3/mzungu.jpg?width=650)
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khatimu Naheka KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amemaliza kazi ya kwanza katika kusaka nyota atakaoanza nao safari ya ubingwa katika timu hiyo, ambapo tayari amefyeka nyota sita wa kikosi hicho. Akizungumza na Championi Jumatatu, Logarusic, maarufu kwa jina na Loga, amesema kazi hiyo ya kufyeka nyota hao aliyoifanya na msaidizi wake Seleman Matola, ina lengo moja kubwa katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Casillas atema nyongo Simba
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu hiyo na kuwa mchezaji huru.
Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Mke wa Costa atema cheche
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mzungu wa Simba aanza nyodo
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mzungu Simba ataka kujipima
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqecBXs3ymXu15LbA6BCDzQvqyLkUeMK8d763SjwVWqXPMZ-5Kw7OfWSXhY2aOvYxNA-TICl6yLSrRxeryPmMhr/kavumbagu.gif?width=650)
Kavumbagu: Tunamtaka huyo Mzungu wa Simba
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio
Na Mohammed Mdose
SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.
Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.
“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s3yECVD-Xt5VFSNWpdBwxUGjB6smycBLdPX-qVusr5tZMSSQRuTg*jruZTEyB0AB77TM-4O5DdRcwyOsgShp*ZwncdiIrORU/OKWI.jpg?width=650)
Okwi: Simba SC imenipa magari sita