Casillas atema nyongo Simba
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu hiyo na kuwa mchezaji huru.
Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Frank atema nyongo
9 years ago
Habarileo19 Aug
Mbunge wa zamani atema nyongo
MBUNGE wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa tayari kumuunga mkono mgombea aliyepitishwa na chama hicho tawala kuwania katika uchaguzi mkuu ujao, akidai ushindi huo alioupata ni wa mizegwe.
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Frank Atema Nyongo, Asema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie
Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.
Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Frank Atema Nyongo,Anasema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie
Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.
Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TElC6TBCtTeSLEPu59spxtzx-slhU5i6T9YDFSpjOTRRpdA9-riZ1QlJ2sa7U5DSI9SVNuYFmRidKkQ0xHPNkBl/simba.jpg?width=650)
Milioni 49 zamshusha Casillas Simba SC
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Ivo amfunika Casillas Simba
![Kipa wa Simba, Ivo Mapunda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IVO-MAPUNDA.jpg)
Kipa wa Simba, Ivo Mapunda
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MAKIPA wa timu ya Simba, Ivo Mapunda na Hussein Shariff ‘Casillas’, juzi wameoneshana umwamba wa kupangua mashuti yaliyokuwa yakipigwa na wachezaji wengine wa timu hiyo, huku Ivo akimfunika Casillas.
Makipa hao wanaoneshana umwamba ili kila mmoja kuipata nafasi ya kuwa kipa namba moja kwenye kikosi cha kocha, Zdravko Logarusic ‘Loga’raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja Jumanne iliyopita.
Ivo alimfunika kipa huyo baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQiDGiE4JFO1KdKDhXuiVgGBbK-wVVsZyd6fMUR0jN-YYXR5XfHquE9sUHOOZexvVoYD5RJl4pfCSORLFNH*rja3/mzungu.jpg?width=650)
Mzungu rasmi atema sita Simba
11 years ago
Mwananchi27 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Mke wa Costa atema cheche
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Amissi Tambwe amhenyesha Casillas