Milioni 49 zamshusha Casillas Simba SC
![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TElC6TBCtTeSLEPu59spxtzx-slhU5i6T9YDFSpjOTRRpdA9-riZ1QlJ2sa7U5DSI9SVNuYFmRidKkQ0xHPNkBl/simba.jpg?width=650)
Hussein Shariff 'Casillas' akisaini mkataba Simba SC Na Alpha Amos SIMBA imefanikiwa kumsajili kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff, kwa kitita cha shilingi milioni 30. Shariff maarufu kwa jina la Casillas amesaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo, ambapo Mtibwa imepata Sh milioni 20 huku yeye akipewa milioni 20 na mshahara wa 800,000 kwa mwezi, hivyo jumla Simba itatoa milioni 49.2 ndani ya miaka hiyo miwili ya kuwa na...
GPL