Ivo amfunika Casillas Simba
Kipa wa Simba, Ivo Mapunda
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MAKIPA wa timu ya Simba, Ivo Mapunda na Hussein Shariff ‘Casillas’, juzi wameoneshana umwamba wa kupangua mashuti yaliyokuwa yakipigwa na wachezaji wengine wa timu hiyo, huku Ivo akimfunika Casillas.
Makipa hao wanaoneshana umwamba ili kila mmoja kuipata nafasi ya kuwa kipa namba moja kwenye kikosi cha kocha, Zdravko Logarusic ‘Loga’raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja Jumanne iliyopita.
Ivo alimfunika kipa huyo baada ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Casillas atema nyongo Simba
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu hiyo na kuwa mchezaji huru.
Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TElC6TBCtTeSLEPu59spxtzx-slhU5i6T9YDFSpjOTRRpdA9-riZ1QlJ2sa7U5DSI9SVNuYFmRidKkQ0xHPNkBl/simba.jpg?width=650)
Milioni 49 zamshusha Casillas Simba SC
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Simba ‘yamvua nguo’ Ivo
![Kipa wa Simba, Ivo Mapunda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IVO-MAPUNDA-300x196.jpg)
IVO MAPUNDA
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA kipa wa timu ya Simba, Ivo Mapunda, amegeuziwa kibao na uongozi wa timu hiyo baada ya kuambiwa arudishe sehemu ya kitita cha fedha alichopewa kwa ajili ya kusaini mkataba mpya.
Ijumaa iliyopita gazeti hili liliripoti kuwa uongozi wa timu hiyo umesitisha mpango wa kumwongezea mkataba kipa
huyo kwa mizengwe, ikidaiwa hawana imani naye tena, licha ya awali kufanya naye mazungumzo na ikadaiwa alitanguliziwa kitita cha Sh milioni 10 kama...
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Ivo afanyiwa zengwe Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imemtema kipa wake Ivo Mapunda, huku ikielezwa kuwa mkongwe huyo ameondoka katika timu hiyo baada ya kusukiwa zengwe ndani ya miamba hiyo.
Ivo alitua Simba Desemba mwaka juzi akitokea Gor Mahia ya Kenya, likiwa ni pendekezo la aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic na kusaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu uliomalizika Mei mwaka huu.
Baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Yanga,...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu
10 years ago
VijimamboIVO SHUJAA SIMBA IKITWAA KOMBE LA MAPINDUZI
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba