Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ivo amfunika Casillas Simba

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MAKIPA wa timu ya Simba, Ivo Mapunda na Hussein Shariff ‘Casillas’, juzi wameoneshana umwamba wa kupangua mashuti yaliyokuwa yakipigwa na wachezaji wengine wa timu hiyo, huku Ivo akimfunika Casillas.

Makipa hao wanaoneshana umwamba ili kila mmoja kuipata nafasi ya kuwa kipa namba moja kwenye kikosi cha kocha, Zdravko Logarusic ‘Loga’raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja Jumanne iliyopita.

Ivo alimfunika kipa huyo baada ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Casillas atema nyongo Simba

NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu  hiyo na kuwa mchezaji huru.

Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...

 

11 years ago

GPL

Milioni 49 zamshusha Casillas Simba SC

Hussein Shariff 'Casillas' akisaini mkataba Simba SC Na Alpha Amos
SIMBA imefanikiwa kumsajili kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff, kwa kitita cha shilingi milioni 30.
Shariff maarufu kwa jina la Casillas amesaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo, ambapo Mtibwa imepata Sh milioni 20 huku yeye akipewa milioni 20 na mshahara wa 800,000 kwa mwezi, hivyo jumla Simba itatoa milioni 49.2 ndani ya miaka hiyo miwili ya kuwa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Simba ‘yamvua nguo’ Ivo

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

IVO MAPUNDA

NA MWANDISHI WETU

ALIYEKUWA kipa wa timu ya Simba, Ivo Mapunda, amegeuziwa kibao na uongozi wa timu hiyo baada ya kuambiwa arudishe sehemu ya kitita cha fedha alichopewa kwa ajili ya kusaini mkataba mpya.

Ijumaa iliyopita gazeti hili liliripoti kuwa uongozi wa timu hiyo umesitisha mpango wa kumwongezea mkataba kipa

huyo kwa mizengwe, ikidaiwa hawana imani naye tena, licha ya awali kufanya naye mazungumzo na ikadaiwa alitanguliziwa kitita cha Sh milioni 10 kama...

 

9 years ago

Mtanzania

Ivo afanyiwa zengwe Simba

ivo-mapundaaNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imemtema kipa wake Ivo Mapunda, huku ikielezwa kuwa mkongwe huyo ameondoka katika timu hiyo baada ya kusukiwa zengwe ndani ya miamba hiyo.

Ivo alitua Simba Desemba mwaka juzi akitokea Gor Mahia ya Kenya, likiwa ni pendekezo la aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic na kusaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu uliomalizika Mei mwaka huu.

Baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Yanga,...

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe

Kipa mpya wa Simba, Ivo Mapunda amewatoa hofu wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwa viongozi wao wamefanya jambo la busara ambalo hawatalijutia kwa uamuzi wao wa kumsajili Donald Musoti.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu

Klabu ya Gor Mahia ya Kenya inafikiria kumrudisha kipa wake wa zamani, Ivo Mapunda msimu ujao, wakati kiungo Jonas Mkude akisaini mkataba wa miaka mitatu kwa gharama Sh60 milioni kuitumikia Simba.

 

10 years ago

Vijimambo

IVO SHUJAA SIMBA IKITWAA KOMBE LA MAPINDUZI

Kipa mkongwe Ivo Mapunda ameibeba Simba kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi baada ya kupangua mkwaju wa penalti wa mkongwe Vicent Barnabas.Mapunda aliingia uwanjani katika dakika ya 90 kuchukua nafasi ya Peter Manyika ikiwa ni sehemu ya kupewa jukumu la kupangua mikwaju hiyo.Simba imefanikiwa kushinda kwa mikwaju 4-3 baada ya wachezaji wawili wa Mtibwa kukosa na mmoja Simba Shabani Kisiga kukosa pia.Kwa ushindi huo, Simba imekabidhiwa kitita cha Sh milioni 10 wakati washindi wa pili Mtibwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi

Kiungo mshambuliaji Raphael Kiongera na kipa Ivo Mapunda wameachwa kwenye kikosi cha Simba kinachoondoka leo kwenda Afrika Kusini kuweka kambi ya muda kujiandaa na mechi yao dhidi ya watani, Yanga, Oktoba 18.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba

Rais wa Simba, Evance Aveva ametoa ruhusa kwa wachezaji wake, Ivo Mapunda, Nassor Said ‘Cholo’, Joseph Owino, Issa Rashida ‘Baba Ubaya’, Haruna Chanongo kufanya mazungumzo na timu nyingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani