Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi

Kiungo mshambuliaji Raphael Kiongera na kipa Ivo Mapunda wameachwa kwenye kikosi cha Simba kinachoondoka leo kwenda Afrika Kusini kuweka kambi ya muda kujiandaa na mechi yao dhidi ya watani, Yanga, Oktoba 18.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ivo ajifua Sauzi, ulinzi wa Yanga usipime

Homa ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda, baada ya Simba kulazimika kumrudisha kundini kipa wake majeruhi, Ivo Mapunda na Yanga wakiweka ulinzi mkali katika mazoezi ya timu hiyo yanayofanyika kwenye Uwanja wa Boko Veteran, Bunju jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera achelewesha kikosi Simba

Kocha Patrick Phiri amesema mshambuliaji wake Raphael Kiongera ndiye anayemchelewesha kupata kikosi cha kwanza kutokana na kuchelewa kuripoti kambini.

 

9 years ago

Mtanzania

Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam

kiongeraNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.

Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.

Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...

 

9 years ago

Mwananchi

Kiongera, Majwega washusha presha Simba

Dar es Salaam. Baada ya kunasa saini za wachezaji watatu, ni dhahiri presha imeshuka kwa uongozi Simba.

 

10 years ago

Mtanzania

Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.

Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...

 

10 years ago

Mwananchi

Raphael Kiongera aikataa jezi ya Mosoti Simba

Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera amegoma kupokea jezi namba 5 kwa madai kuwa hawezi kuivaa badala ya Donald Mosoti na kutaka atafutiwe namba nyingine.

 

10 years ago

GPL

Kiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC

Mshambuliaji wa Simba,Paul Kiongera. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas Dar es Salaam
TIMU ya Simba imepanga kumrejesha kiungo mshambuliaji Paul Kiongera katika usajili mkubwa wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho.Wakati mipango ikiwa hivyo, kiungo huyo ametoa kauli kuwa anakuja akiwa fiti, hiyo ikimaanisha kuwa ushindani wa namba kwenye idara ya ushambuliaji utakuwa mkali kati yake na Elias...

 

9 years ago

Mtanzania

Kiongera, Ungando waunda pacha mpya Simba

kiongeraNA KOMBO ALI KOMBO, ZANZIBAR

MASHABIKI wa timu ya Simba visiwani hapa wameanza kufurahishwa na viwango vya nyota wao wapya, Paul Kiongera na Hijja Ungando, wakidai wametengeneza kombinesheni nzuri.

Ungando na Kiongera, aliyekuwa kwa mkopo KCB ya Kenya, wameanza kufanya vizuri kwenye maandalizi ya Simba kuelekea mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Jumamosi hii.

Akizungumza mara baada ya mazoezi ya jana, mmoja wa mashabiki hao...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera aing’arisha Simba Uwanja wa Taifa

>Mshambuliaji mpya wa Simba, Raphael Kiongera aliifungia timu yake mabao mawili muhimu akitokea benchi katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Gor Mahia na kuiwezesha kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani