Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi
Kiungo mshambuliaji Raphael Kiongera na kipa Ivo Mapunda wameachwa kwenye kikosi cha Simba kinachoondoka leo kwenda Afrika Kusini kuweka kambi ya muda kujiandaa na mechi yao dhidi ya watani, Yanga, Oktoba 18.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Ivo ajifua Sauzi, ulinzi wa Yanga usipime
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Kiongera achelewesha kikosi Simba
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.
Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.
Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Kiongera, Majwega washusha presha Simba
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba
![Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Kiongera.jpg)
Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera
NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Raphael Kiongera aikataa jezi ya Mosoti Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG-UmW9i3lU9KDY8-9azkEAu2eft9GMMYIXBgUNHKvQKxulATCY3NiAgXCUdfWJekp6dgvh*2ofbXx447EQW6OQw/Kiongera.jpg)
Kiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Kiongera, Ungando waunda pacha mpya Simba
NA KOMBO ALI KOMBO, ZANZIBAR
MASHABIKI wa timu ya Simba visiwani hapa wameanza kufurahishwa na viwango vya nyota wao wapya, Paul Kiongera na Hijja Ungando, wakidai wametengeneza kombinesheni nzuri.
Ungando na Kiongera, aliyekuwa kwa mkopo KCB ya Kenya, wameanza kufanya vizuri kwenye maandalizi ya Simba kuelekea mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Jumamosi hii.
Akizungumza mara baada ya mazoezi ya jana, mmoja wa mashabiki hao...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Kiongera aing’arisha Simba Uwanja wa Taifa