Kiongera, Majwega washusha presha Simba
Dar es Salaam. Baada ya kunasa saini za wachezaji watatu, ni dhahiri presha imeshuka kwa uongozi Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.
Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.
Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...
9 years ago
Habarileo02 Dec
Majwega atua Simba
MCHEZAJI Brian Majwega raia wa Uganda sasa yupo huru kucheza Simba katika Ligi Kuu bara. Kwa takriban wiki mbili sasa kumekuwa na mgogoro kati ya Simba na Azam FC kuhusu mchezaji huyo aliyesajiliwa na Azam mwanzoni mwa mwaka huu.
9 years ago
TheCitizen01 Dec
Simba open talks with Azam over Majwega
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Ndikumana ‘out’ Stand, Majwega apasha Simba
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Kiongera achelewesha kikosi Simba
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba
Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera
NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Kiongera aing’arisha Simba Uwanja wa Taifa
10 years ago
GPLKiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC