Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba open talks with Azam over Majwega

Simba SC have opened negotiations with Azam FC with a view to signing Ugandan midfielder, Brian Majwega.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina

Kiungo wa Azam, Brian Majwega ameidhinishwa rasmi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuichezea klabu ya Simba msimu huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam

kiongeraNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.

Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.

Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yamshtaki Majwega Fifa

Uongozi wa klabu ya Azam umemshtaki kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) winga wake Brian Majwega  kwa madai ya kujiunga na Simba akiwa bado na mkataba.

 

9 years ago

TheCitizen

Azam reports Majwega to Fifa for ‘absconding’

Azam Football Club have said that they have reported their indiscipline midfilder Brian Majwega to the World’s governing body, Fifa for absconding.

 

9 years ago

Habarileo

Majwega atua Simba

MCHEZAJI Brian Majwega raia wa Uganda sasa yupo huru kucheza Simba katika Ligi Kuu bara. Kwa takriban wiki mbili sasa kumekuwa na mgogoro kati ya Simba na Azam FC kuhusu mchezaji huyo aliyesajiliwa na Azam mwanzoni mwa mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kiongera, Majwega washusha presha Simba

Dar es Salaam. Baada ya kunasa saini za wachezaji watatu, ni dhahiri presha imeshuka kwa uongozi Simba.

 

9 years ago

Mwananchi

Ndikumana ‘out’ Stand, Majwega apasha Simba

Siku chache baada ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa, klabu zimeanza kusafisha safu zao kwa kuondoa au kuongeza wachezaji wapya.

 

11 years ago

BBC

S Sudan rivals to open peace talks

Talks between South Sudan's government and rebels are due to start later on Tuesday in attempt to agree to a ceasefire, mediators say.

 

10 years ago

TheCitizen

Talks set to re-open as donor funding drags on

Talks between the government and donors to re-open funding for budget implementation have so far failed to bear fruit despite prolonged negotiations, The Citizen has learnt.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani