Azam reports Majwega to Fifa for ‘absconding’
Azam Football Club have said that they have reported their indiscipline midfilder Brian Majwega to the World’s governing body, Fifa for absconding.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Azam yamshtaki Majwega Fifa
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.
Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.
Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina
9 years ago
TheCitizen01 Dec
Simba open talks with Azam over Majwega
10 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Azam ndiyo pekee itapeta masharti ya CAF, Fifa’
9 years ago
Habarileo02 Dec
Majwega atua Simba
MCHEZAJI Brian Majwega raia wa Uganda sasa yupo huru kucheza Simba katika Ligi Kuu bara. Kwa takriban wiki mbili sasa kumekuwa na mgogoro kati ya Simba na Azam FC kuhusu mchezaji huyo aliyesajiliwa na Azam mwanzoni mwa mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Kiongera, Majwega washusha presha Simba
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Ndikumana ‘out’ Stand, Majwega apasha Simba
5 years ago
GIVEMESPORT24 Feb
Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish