Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yamshtaki Majwega Fifa

Uongozi wa klabu ya Azam umemshtaki kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) winga wake Brian Majwega  kwa madai ya kujiunga na Simba akiwa bado na mkataba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Azam reports Majwega to Fifa for ‘absconding’

Azam Football Club have said that they have reported their indiscipline midfilder Brian Majwega to the World’s governing body, Fifa for absconding.

 

9 years ago

Mwananchi

Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina

Kiungo wa Azam, Brian Majwega ameidhinishwa rasmi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuichezea klabu ya Simba msimu huu.

 

9 years ago

TheCitizen

Simba open talks with Azam over Majwega

Simba SC have opened negotiations with Azam FC with a view to signing Ugandan midfielder, Brian Majwega.

 

9 years ago

Mtanzania

Kiongera, Majwega ‘out’ Simba v Azam

kiongeraNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba huenda ikashindwa kuwatumia nyota wake wapya iliyowasajili usajili wa dirisha dogo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Azam kesho, kutokana na kubanwa na taratibu za usajili nchini.

Baadhi ya wachezaji hao iliyowasajili ni mshambuliaji Paul Kiongera waliyemrudisha kwa mkopo akitokea KCB ya Kenya, winga Brian Majwega kutoka Azam FC, straika kinda Hijja Ugando.

Wengine ni beki Novatus Lufunga aliyetokea African...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Azam ndiyo pekee itapeta masharti ya CAF, Fifa’

Klabu za Ligi Kuu Bara sasa zitaingia katika mfumo mpya wa kushiriki ligi hiyo kwa kujaza fomu za kuomba ushiriki endapo itakidhi vigezo ikiwamo kuwa na uwanja wa mazoezi, uwanja wa kuchezea mechi na programu ya vijana.

 

9 years ago

Habarileo

Majwega atua Simba

MCHEZAJI Brian Majwega raia wa Uganda sasa yupo huru kucheza Simba katika Ligi Kuu bara. Kwa takriban wiki mbili sasa kumekuwa na mgogoro kati ya Simba na Azam FC kuhusu mchezaji huyo aliyesajiliwa na Azam mwanzoni mwa mwaka huu.

 

9 years ago

Vijimambo

Chadema: yamshtaki Kikwete UN.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema tayari kimeandika barua kwenda kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki Moon, kumshtaki Rais Jakaya Kikwete.

Mwanasheria wa Chadema, John Mallya, aliwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuwa barua hiyo waliituma UN jana.

Mallya alisema lengo la barua ni kumshtaki Rais Kikwete kwa mataifa mengine kutokana na kauli yake ya kuwatisha Watanzania aliyodai aliitoa Oktoba 14, mwaka huu ya kuwataka wapigakura kuondoka...

 

10 years ago

Mtanzania

IPTL yamshtaki Zitto

Zitto Kabwe

Zitto Kabwe

NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini,  Zitto Kabwe (Chadema).

Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.

Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo  Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga...

 

11 years ago

GPL

TFF yamshtaki Logarusic

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeiagiza Bodi ya Ligi Kuu Bara kumshughulikia Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic kutokana na tabia yake ya kukataa kuzungumza na waandishi wa habari mara baada ya mechi za timu yake. Katika siku za hivi karibuni, Logarusic amekuwa akikataa kuingia katika chumba maalum cha mahojiano na waandishi wa habari kama ambavyo taratibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani