Chadema: yamshtaki Kikwete UN.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema tayari kimeandika barua kwenda kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki Moon, kumshtaki Rais Jakaya Kikwete.
Mwanasheria wa Chadema, John Mallya, aliwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuwa barua hiyo waliituma UN jana.
Mallya alisema lengo la barua ni kumshtaki Rais Kikwete kwa mataifa mengine kutokana na kauli yake ya kuwatisha Watanzania aliyodai aliitoa Oktoba 14, mwaka huu ya kuwataka wapigakura kuondoka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...
10 years ago
Mtanzania10 Sep
IPTL yamshtaki Zitto
![Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Zitto-Kabwe.jpg)
Zitto Kabwe
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.
Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na Kay Felician Mwesiga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YkijisTCADN9MNGzPuUlVmLnGZ-GL82yDRNLvtp7DT8vHo39ZSBUVG-3S1GQ9nmGqguQZ5cf63MfUYVnMq2RdoJ/tff.jpg?width=650)
TFF yamshtaki Logarusic
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Azam yamshtaki Majwega Fifa
9 years ago
Habarileo04 Sep
Tanesco yamshtaki Askofu Gwajima Polisi
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeishtaki polisi Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima kutokana na kuharibu miundombinu ya umeme katika maeneo ya shirika hilo Jumamosi iliyopita na kusababisha umeme kukatika kwa baadhi ya mikoa na Jiji la Dar es Salaam.
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Simba washikana uchawi, yamshtaki mwamuzi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KIPIGO ilichokipata timu ya Simba kwenye mchezo dhidi ya mahasimu wao, Yanga juzi kimezua mapya kwa wekundu hao baada ya wachezaji watatu wa safu ya ulinzi kudaiwa kufanya hujuma
Yanga ilivunja uteja dhidi ya Simba kwa kuichapa mabao 2-0 yaliyofungwa na washambuliaji, Amissi Tambwe na Malimi Busungu.
Habari za kutoka ndani ya Simba zilizolifikia gazeti hili zimedai kuwa wachezaji hao wa safu ya ulinzi walishindwa kabisa kuwazuia washambuliaji wa Yanga,...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Tenesco yamshtaki Askofu Gwajima Polisi
Askofu Josephat Gwajima Imeandikwa na Theopista Nsanzugwanko Imechapishwa: 04 Septemba 2015 Askofu Josephat Gwajima SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limelishtaki Polisi Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima kutokana na kuharibu miundombinu ya […]
The post Tenesco yamshtaki Askofu Gwajima Polisi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
IAAF yamshtaki Lamine Diack na mwanawe
10 years ago
TheCitizen18 Dec
Chadema doubts Kikwete on escrow