Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IAAF yamshtaki Lamine Diack na mwanawe

IAAF, imewashtaki watu 4 kuhusiana na kashfa ya matumizi ya madawa ya kusisimua misuli, kukiwemo mwana wa aliyekuwa Rais wa Shirikisho hilo, Lamine Diack.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Lamine Diack trial: Choices were for 'financial health of the IAAF'

Lamine Diack says he slowed the handling of Russian doping cases between 2011-2013 "for the financial health" of the organisation.

 

9 years ago

BBC

What has Lamine Diack done for athletics?

What has world athletics chief done in 16 years in charge?

 

9 years ago

BBC

Senegal denies Lamine Diack fund claim

The government of Senegal denies allegations that President Macky Sall's campaign in 2012 was funded by the former head of world athletics, Lamine Diack.

 

5 years ago

BBC

Lamine Diack: Former athletics chief's trial set to start in Paris

The trial of Lamine Diack, the disgraced former head of athletics' world governing body the IAAF, will get under way in Paris on Monday.

 

9 years ago

BBC

Diack resigns from IOC position

Ex-IAAF chief Lamine Diack resigns from his position as an honorary member of the International Olympic Committee.

 

9 years ago

BBCSwahili

Diack ajiondoa kamati ya Olimpiki

Rais wa zamani wa shirikisho la riadha duniani IAAF Lamine Diack amejiuzulu kutoka kwa wadhifa wake kama mwanachama wa kamati ya kimataifa ya Olimpiki IOC.

 

11 years ago

GPL

TFF yamshtaki Logarusic

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeiagiza Bodi ya Ligi Kuu Bara kumshughulikia Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic kutokana na tabia yake ya kukataa kuzungumza na waandishi wa habari mara baada ya mechi za timu yake. Katika siku za hivi karibuni, Logarusic amekuwa akikataa kuingia katika chumba maalum cha mahojiano na waandishi wa habari kama ambavyo taratibu...

 

10 years ago

Mtanzania

IPTL yamshtaki Zitto

Zitto Kabwe

Zitto Kabwe

NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini,  Zitto Kabwe (Chadema).

Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.

Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo  Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga...

 

9 years ago

Vijimambo

Chadema: yamshtaki Kikwete UN.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema tayari kimeandika barua kwenda kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki Moon, kumshtaki Rais Jakaya Kikwete.

Mwanasheria wa Chadema, John Mallya, aliwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuwa barua hiyo waliituma UN jana.

Mallya alisema lengo la barua ni kumshtaki Rais Kikwete kwa mataifa mengine kutokana na kauli yake ya kuwatisha Watanzania aliyodai aliitoa Oktoba 14, mwaka huu ya kuwataka wapigakura kuondoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani