Simba washikana uchawi, yamshtaki mwamuzi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KIPIGO ilichokipata timu ya Simba kwenye mchezo dhidi ya mahasimu wao, Yanga juzi kimezua mapya kwa wekundu hao baada ya wachezaji watatu wa safu ya ulinzi kudaiwa kufanya hujuma
Yanga ilivunja uteja dhidi ya Simba kwa kuichapa mabao 2-0 yaliyofungwa na washambuliaji, Amissi Tambwe na Malimi Busungu.
Habari za kutoka ndani ya Simba zilizolifikia gazeti hili zimedai kuwa wachezaji hao wa safu ya ulinzi walishindwa kabisa kuwazuia washambuliaji wa Yanga,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wapentekoste washikana uchawi
SIKU moja baada ya Ikulu kuliumbua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste Tanzania (PCT) kwamba hawakuwasilisha majina ya uteuzi kwa Rais Jakaya Kikwete, wameanza kushikana uchawi kumsaka aliyesababisha majina hayo kutofika...
9 years ago
Mwananchi31 Oct
CCM Iringa ‘washikana uchawi’
9 years ago
Habarileo28 Sep
Simba ‘yalia’ na mwamuzi
UONGOZI wa timu ya Simba umemlalamikia mwamuzi Israel Nkongo aliyechezesha mechi yake ya Ligi Kuu bara dhidi ya Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita ukidai hakutenda haki. Mbali na madai hayo, Simba pia imemlalamikia mchezaji wa Yanga Donald Ngoma kwa kumpiga kichwa mchezaji wao Hassan Kessy.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKPT2NHufWUAgVUG6G1H7qTJpq52sxANryc5SMYEE5uInsYXKzN3GmlG*r9cpEOq7JoUICU5ltgihsoJlKEQzY78/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s72-c/Planets.jpg)
UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI?
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s1600/Planets.jpg)
Al Azhari ambaye nimtungaji wa kamusimaarafu ya kiarabu iitwayo“LisanulArab” amesema:“Neno “Uchawi”, kwakiarabu “As Sihr”, maanayake ni kitendo chakujikurubisha na shetani nakwa msaada wake(shetani)”, na akasema piakuwa; “Uchawi nikulibadilisha jambo mbali nauhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambolisilo la kweli wakalionakuwa ni la kweli.”Ama Sahaba Ibni Abbas(Radhiya Llaahu ‘anhu)amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batilikatika sura ya haki."Hayo ni katika kamusi zalugha.Amma katika...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wajumbe Baraza la Wawakilishi washikana mashati
UKUMBI wa Baraza la Wawakilishi jana uligeuka uwanja wa ‘vita’ baada ua kuzuka vurugu na wajumbe kushikana mashati.
9 years ago
Vijimambo20 Oct
Chadema: yamshtaki Kikwete UN.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/CDM-20Octboer.png)
Mwanasheria wa Chadema, John Mallya, aliwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuwa barua hiyo waliituma UN jana.
Mallya alisema lengo la barua ni kumshtaki Rais Kikwete kwa mataifa mengine kutokana na kauli yake ya kuwatisha Watanzania aliyodai aliitoa Oktoba 14, mwaka huu ya kuwataka wapigakura kuondoka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YkijisTCADN9MNGzPuUlVmLnGZ-GL82yDRNLvtp7DT8vHo39ZSBUVG-3S1GQ9nmGqguQZ5cf63MfUYVnMq2RdoJ/tff.jpg?width=650)
TFF yamshtaki Logarusic