Wapentekoste washikana uchawi
SIKU moja baada ya Ikulu kuliumbua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste Tanzania (PCT) kwamba hawakuwasilisha majina ya uteuzi kwa Rais Jakaya Kikwete, wameanza kushikana uchawi kumsaka aliyesababisha majina hayo kutofika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Oct
CCM Iringa ‘washikana uchawi’
10 years ago
Mtanzania28 Sep
Simba washikana uchawi, yamshtaki mwamuzi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KIPIGO ilichokipata timu ya Simba kwenye mchezo dhidi ya mahasimu wao, Yanga juzi kimezua mapya kwa wekundu hao baada ya wachezaji watatu wa safu ya ulinzi kudaiwa kufanya hujuma
Yanga ilivunja uteja dhidi ya Simba kwa kuichapa mabao 2-0 yaliyofungwa na washambuliaji, Amissi Tambwe na Malimi Busungu.
Habari za kutoka ndani ya Simba zilizolifikia gazeti hili zimedai kuwa wachezaji hao wa safu ya ulinzi walishindwa kabisa kuwazuia washambuliaji wa Yanga,...
10 years ago
GPL
UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI
10 years ago
Vijimambo
UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI?

Al Azhari ambaye nimtungaji wa kamusimaarafu ya kiarabu iitwayo“LisanulArab” amesema:“Neno “Uchawi”, kwakiarabu “As Sihr”, maanayake ni kitendo chakujikurubisha na shetani nakwa msaada wake(shetani)”, na akasema piakuwa; “Uchawi nikulibadilisha jambo mbali nauhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambolisilo la kweli wakalionakuwa ni la kweli.”Ama Sahaba Ibni Abbas(Radhiya Llaahu ‘anhu)amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batilikatika sura ya haki."Hayo ni katika kamusi zalugha.Amma katika...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wajumbe Baraza la Wawakilishi washikana mashati
UKUMBI wa Baraza la Wawakilishi jana uligeuka uwanja wa ‘vita’ baada ua kuzuka vurugu na wajumbe kushikana mashati.
10 years ago
GPL
DIAMOND AJIFUNZA UCHAWI
10 years ago
GPL
UHUSIANO WA FREEMASONS NA UCHAWI
10 years ago
GPL
UCHAWI WAFUMULIWA SOKONI
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
‘Uchawi’ wa biashara zuio la EFD
MIFUMO ya ukusanyaji wa mapato haitokani na njama za chuki au fitina zinazofanywa na mamlaka za kiserikali zote duniani ili kuwaumiza wananchi wake. Ndiyo maana hata kiongozi wa taifa maskini...