UHUSIANO WA FREEMASONS NA UCHAWI

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea ni kwa nini Wana wa Israeli walikuwa na msimamo wa ukaidi kiasi cha kujifanyia masanamu na kuyaabudu? Ni nini chanzo cha mwelekeo huu? Je, kuna mkono wa Freemasons?SONGA NAYO… Tunapoichunguza jamii ya Freemasonry kwa undani na kwa kuzingatia kumbukumbu za historia, tunaona kuwa itikadi ya kipagani iliyowaathiri Waisraeli, ilikuwa ni ile ya Misri ya kale...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
UHUSIANO WA FREEMASONS NA MUNGU
10 years ago
GPL
UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI
10 years ago
Vijimambo
UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI?

Al Azhari ambaye nimtungaji wa kamusimaarafu ya kiarabu iitwayo“LisanulArab” amesema:“Neno “Uchawi”, kwakiarabu “As Sihr”, maanayake ni kitendo chakujikurubisha na shetani nakwa msaada wake(shetani)”, na akasema piakuwa; “Uchawi nikulibadilisha jambo mbali nauhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambolisilo la kweli wakalionakuwa ni la kweli.”Ama Sahaba Ibni Abbas(Radhiya Llaahu ‘anhu)amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batilikatika sura ya haki."Hayo ni katika kamusi zalugha.Amma katika...
10 years ago
GPL
ALAMA ZINAZOTUMIWA NA FREEMASONS
10 years ago
GPL
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 2
11 years ago
Habarileo10 Sep
RC acharukia wanaohusisha CHF na Freemasons
BAADHI ya wakazi wilayani Kyela wanadaiwa kupotosha kuhusu umuhimu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuuhusisha na mfumo wa Freemasons.
10 years ago
GPL
HIZI NDIZO TABIA ZA FREEMASONS
10 years ago
GPL
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 3
10 years ago
GPL
FREEMASONS WAPYA WAIBUKA, WAJIBADILISHA UTAMBULISHO!