Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALAMA ZINAZOTUMIWA NA FREEMASONS


Mpenzi msomaji wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikizungumzia vikao vya Freemasons ambapo huwa mwenyekiti wao wanamwita Master na anakuwa na wasaidizi wawili. Kwenye ibada zao mwenyekiti huwa anakaa upande wa Mashariki, msaidizi mmoja anakaa mbele yake akimtazama na mwingine anasaidia shughuli nzima inayoendelea. Kunakuwa na mtu mwingine ambaye ndiye mwongozaji wa sala na wakati wakisali huwa Mungu wanamwita Fundi Mkuu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. WAKATI kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikizidi kupamba moto, vipimo vinaonesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ana alama 6 na wa Ukawa, Edward Lowassa ana alama 9 katika mambo mbalimbali ya kikazi, Uwazi linachambua. Uwazi lilianza kwa kuchimba kwenye upande wa mambo yaliyozua maswali mengi ambapo kipimo kinaonesha...

 

11 years ago

Mwananchi

Cadaver: Maiti zinazotumiwa na wanafunzi wa sayansi ya tiba

>Mwaka 335-280 nchini Ugiriki kabla ya kuzaliwa kwa Kristo alitokea mwanasayansi nchini humo aitwaye Herophilus, huyu ndiye mtu wa kwanza kujenga mafunzo juu ya maumbile ya mwanadamu, kitaalamu ‘Anatomy’.

 

9 years ago

GPL

UHUSIANO WA FREEMASONS NA UCHAWI

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea ni kwa nini Wana wa Israeli walikuwa na msimamo wa ukaidi kiasi cha kujifanyia masanamu na kuyaabudu? Ni nini chanzo cha mwelekeo huu? Je, kuna mkono wa Freemasons?SONGA NAYO… Tunapoichunguza jamii ya Freemasonry kwa undani na kwa kuzingatia kumbukumbu za historia, tunaona kuwa itikadi ya kipagani iliyowaathiri Waisraeli, ilikuwa ni ile ya Misri ya kale...

 

10 years ago

GPL

UHUSIANO WA FREEMASONS NA MUNGU

Mpenzi msomaji wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikielezea uhusiano uliokuwepo baina ya falsfa ya siri ya makuhani wa Misri ya kale na Freemasons wa leo. Utawala wa Misri ya kale ambao unachukuliwa kama utawala wa kisiasa uliomkana Mungu, ulitoweka maelfu ya miaka iliyopita. Je, utawala huo waweza kuwa na athari zozote hivi leo?SONGA NAYO… Katika Kitabu cha Freemasons wenyewe cha The Hiram Key kilichoandikwa na...

 

10 years ago

GPL

HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 3

Mpenzi msomaji, baada ya utambulisho juu ya hawa jamaa ni akina nani, wiki iliyopita nilianza kuangalia chimbuko lao. Nilieleza namna Freemasons walivyokuwa wakijenga mahekalu na kujumuika humo wakisimikana katika madaraja ya kimasoni, zama hizo kulikuwa na madaraja matatu tu, yaani Apprentices (wanafunzi wa mwanzo), Journeymen (wanafunzi wa kati kuelekea kuiva) na Grandmaster (waliofuzu). SASA ENDELEA… Kuchimba na kusoma...

 

10 years ago

GPL

HIZI NDIZO TABIA ZA FREEMASONS

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale ambapo Sir Chande, kiongozi mstaafu wa taasisi hiyo Afrika Mashariki alipokuwa akishukuru kupewa heshima na vyombo vya kitaifa na kimataifa.
Baadhi ya vitabu vinaonesha kwamba hakuna anayejua wanachokifanya wanachama wa Freemasonry lakini inaaminika kuwa viongozi wakuu wa Tanzania wanajua kila kitu.
SASA ENDELEA… Katika zama tulizo nazo swali la nani ni Freemason...

 

10 years ago

Habarileo

RC acharukia wanaohusisha CHF na Freemasons

BAADHI ya wakazi wilayani Kyela wanadaiwa kupotosha kuhusu umuhimu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuuhusisha na mfumo wa Freemasons.

 

10 years ago

GPL

HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 2

Mpenzi msomaji wiki iliyopita nilidokeza kuwa katika simulizi hii nitahakikisha najibu maswali yote ambayo yamekuwa yakiulizwa sana na wasomaji.
SASA ENDELEA… Je, mtu anawezaje kujiunga nao na kwamba kuna ukweli kuwa atapata utajiri kwa kufumba na kufumbua macho? Je, ni masharti au vigezo gani ambavyo lazima uvitimize ndiyo ujiunge nao? Fomu za kujiunga zinapatikanaje na wapi? Je, wana makao yao hapa nchini au Afrika...

 

9 years ago

GPL

FREEMASONS WAPYA WAIBUKA, WAJIBADILISHA UTAMBULISHO!

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita nilieleza uhusiano mkubwa uliokuwepo kati ya Freemasonry ya kale na masuala ya uchawi waliokuwa wakiujua wenyewe tangu zamani. Mambo hayo yote yameelezwa katika Kitabu cha Nehemia kwenye Torati ya Biblia ya Agano la Kale.SASA ENDELEA... Kilipita kipindi kirefu baada ya Torati hadi mwaka 1717, walipoibuka Freemasons wapya ambao walijitokeza tena nchini Uingereza wakiwa wengi na nguvu zaidi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani