KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9
![](http://api.ning.com:80/files/RVyZE3N-GnYE20dwBv*eNu5ye9WWu3*IW3olnv15GWLIqcJ647xAC7L0zI7LCNPxKe9q7K0w5u4IGxSClQ9tYF8MYIRtsOv8/4.jpg?width=650)
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. WAKATI kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikizidi kupamba moto, vipimo vinaonesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ana alama 6 na wa Ukawa, Edward Lowassa ana alama 9 katika mambo mbalimbali ya kikazi, Uwazi linachambua. Uwazi lilianza kwa kuchimba kwenye upande wa mambo yaliyozua maswali mengi ambapo kipimo kinaonesha...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo31 Aug
CCM yajivunia alama za Magufuli
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kujivunia kukubalika kwa mgombea wake wa urais, Dk John Magufuli, kutokana na kazi alizofanya kuonekana katika kila mkoa na kila wilaya.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*4sM22xZ7ytTV6de0TNm85sn0zcrD0rKKp3mXWD4DlcUA9-gwwQDsAGhQRqnG03M7pB2fZCqFpSqdLu5M9yTaAF*07pgScUF/freemasonrydisplay.jpg?width=650)
ALAMA ZINAZOTUMIWA NA FREEMASONS
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Matumizi ya alama za vituo
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Samia alia na alama ‘V’
NA SARAH MOSSI, KOROGWE
MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema alama ya ‘V’ haijawahi kushika dola duniani kote.
Samia, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wananchi katika eneo la Mombo akiwa njiani kuelekea wilayani Lushoto.
“Sasa hivi vurugu tupu, utawala wa nchi si wa kujaribu, wapeni wenye uthabiti, waliosimama imara na uwezo ndugu zangu, sumu haionjwi,”alisema Samia.
Mapema akiwahutubia wananchi wa Korogwe mjini katika viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi, Samia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1rEqqBcbhMs/VgorNjbgqeI/AAAAAAAH7rE/OBxPAMMg8tk/s72-c/IMG_8183.jpg)
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Sakata la mtafsiri wa lugha ya alama SA
11 years ago
Habarileo09 Apr
NIDA wachukua alama Pemba
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza usajili na uchukuaji wa alama za kibayolojia kwa wakazi wa Pemba visiwani Zanzibar.
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Mwanafunzi mwerevu apata alama 0 !
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Wahamiaji watachukuliwa alama za vidole